Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

NAkubaliana na ww kwa asilimia 100% juu uhuru huo uloeleza kwan mm pia naheshimu haki na utu wa mwanamke duniani.
Lakini tatizo lako haliapply kwa shusho hata kidogo.
Mkuu shusho aliolewa akiwa na miaka 19 ambayo kwa mtu ambae hakwenda shule ni mmama .mm by 19 mama yangu alikuwa na 2 kids.
Pili ndoa ni mkataba wenye maadili yake.kinachotokea ni ulimbukeni wa exposure baada ya mafanikio.ntatoa mfano wa wakinga kariakoo.
Wanawake wakinga huwa sio wazuri ni wafupi na shapeless na wanasura za babu.
Sasa wakinga wakiwa kwao huwa hawana exposure wanajikuta wanachagua mke out of love na limited expoure .wanaoa kikristo na wanaanza saka mali na mkewe .
Sababu ni wapiganaji na wabahili wanajikuta wanapata mtaji mkubwa ndani ya 2 to 5yrs .ndo kwa konekshen ya ndugu zao wanaingia kariakoo.
Hapo wanajuana waaminifu sana kuna mkinga nlimlipa milion nkatega kwa kuongeza elfu kumi asee alipiga na simu kabisa .
Sasa wanakopeshana mzigo zana unakuta ndani ya miaka miaka 10 anakuwa bilionaire ashanunua mahotel na migorofa kama yote.
Tatizo sasa anguko la wakinga limepatikana vyema .ni walaini kwa pisi kali unakuta wanaacha wake zao ili waoe mislay qeen.yaan wakinga ndo madanga wa makahaba dar.
Hapo wamejikuta wanajiingiza kwenye starehe na wengi nawajua wameachana na ndoa na wamefilisika.
Nini point yangu? Ndoa ukiifunga hususan ya kikristo ni mkataba na Mungu .biblia haiatoa takwa la mwanamke kumpenda mume limeagiza kumuheshimu.kupenda ni jambo la wanaume .mara ngapi mwanamke asie kupenda ukilala nae tu anabadilika ? Mwanaume kwa manamke asiempenda hata atoe tigo haisaidii.
Ukiingia na mtu ndoa ya kikristo kama ulikosea au uliingia kwa dhiki kaa na ndoa yako kuheshimu mungu sio mume.
Shusho aliolewa akiwa na umri wa kufanya maaamuzi 19 akamuapia mume kwa mungu .leo ametenda dhambi isiyo na msamaha inaitwa KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU.Yaan kusema mungu alimuonesha avunje ndoa akamtumikie .dhambi ya kumsingizia mungu uongo
Mkuu kuna point nakazia hapo.
Mwanaume anayetafuta mweza wakuishi nae kwa misingi ya kupendwa mara nyingi huwa anafeli

Kwasabab mwanamke hapaswi kumpenda mwanaume ili aishi nae
Bali ni kumheshimu kunatosha.
 
Nimeshuhudia watu wawili watatu waliooa vibinti vya form two baada ya kuvitia mimba na kulazimishwa kuvioa, baada ya muda mabinti wale walisomeshwa na Waume zao hadi kupata kazi, vingine vi ness, vingine vi ticha, baada tu ya kupata kazi vimetelekeza waume na watoto... ndukii
 
Wote ni watumwa hakuna mwanadamu aliyekua huru kwa asilimia 100 tunatofautiana viwango tu vya utumwa

Wewe mwenyewe una uhuru kwa asilimia 100 unauhuru wenye mipaka
Nadhani mpaka hapo tumekubaliana kwamba miaka 20 kuwa mtumwa inawezekana na si jambo la kustajaabisha!
 
Ki ukweli huyu dada nami nilikubali sana kabla hajaanza hata kuimba
Tulikuwa tunashiriki naye kwenye huduma moja Dar ikiitwa New life crusade
alipoanza album yake akawa maarufu sikumuona tena akihudumu kwenye semina na mikutano
mbali mbali nikajua amezidiwa na huduma,sasa naona huduma zimeongezeka,nipo njia panda
nashindwa nimtakie kila la kheri, au nimshauri arudi nyumbani
 
Acha kupotosha
Mwanamke hayuko sawa na mwanaume
Mwanamke kuwajibika kwa mmewe sio utumwa bali ni sehemu yake
Mwanamke anajisikia fahari akimfulia, kimpikia, na kumjali mme wake

Mnataka haki zipo za wanawake, usawa gani mnataka
Wote tukojoe tumechuchumaa au
Ferminism imealibu akili za watu yaani gender roles wanasema ni utumwa. Mbona mwanaume anawekwa mbele kwenye kazi ngumu na za hatari lakini hawasemi ni utumwa.
 
Namna bora ya kuondoa haya ni kuwapa Watu elimu ya kweli. Ili kila mtu awe huru.

Huoni humu wanaume hawataki na wanaogopa wanawake waliosoma na wenye kazi? Sababu kubwa ni kuwa wanataka Wanawake Watumwa na sio Wake.

Mwanaume hataki kubishiwa jambo ilhali ukiangalia kakosea huoni hapo kuna tatizo.
Kinyume cha mtumwa ni bwana, kwa tafsiri yako ya utumwa, ni heri kumwoa mtumwa kuliko bwana mwenzio. Fahali wawili hawakai zizi moja.
 
Mkuu naona unatoa maelezo bila ya Fact. Hapa tunazungumzia facts sio porojo
Robert wewe umeleta andiko, Sasa nakuuliza swali 1, Christina ni mKristo na Rejeo lake ama Msingi ni BIBLIA TAKATIFU,

Hayo uliyoandika wewe ni Kwa Msingi upi? Reference Yako ni Nini?
Siyaoni katika BIBLIA TAKATIFU.

Umesema hakuna facts ila kusema Mwanamke anayechepuka hakupendi.

Kijana kijana 🤣🤣🤣🤣🤣.

Kama asingeolewa na Mzee Shusho basi kuna uwezekano angekuwa mtu mbaya kuliko alivyo Sasa.

Kwanini nasema hivi?

Kujiinua...
 
Nature ya jumuia ni kuwa lazima awepo kiongozi.

Mwanaume ni kiongozi wa mwanamke. Utake ni hivyohivyo na kama hutaki inabaki hivyohivyo.

Mwanamke usipompa uongozi atakudharau na hii haijalishi yeye ana mifedha na mivyeo kiasi gani. Na worst case scenario ni kuwa ataanza kuvutiwa na wanaume wanaoproject uongozi ambao anautamani.
Katika Ndoa mwanaume usipojipambanua kuwa wewe ni kiongozi huyo mwanamke atakuendesha kdma gari bovu!

Mwanamke na mwanaume wote wanahitaji uhuru ulio katika mipaka ya roles zao. Uhuru ukipitiliza mipaka ya role ya kila mmoja lazima chaos itokee
Point kubwa sana hii
 
Hii mada umeiandika kinyume nyume. Ukija kuishi na mkeo kwa mawazo haya utapata taabu sana, wanawake wenyewe hawapendi kuishi na wanaume wenye mawazo kama ya mtoa mada...! Tambua kwamba "feminine" inahitaji "masculine" ili mambo yawe kwenye mlingano. Mawazo na falsafa zako ni za kifeminine zikikutana na za mkeo ambazo nazo ni feminine, hapo mzani unaegemea upande mmoja balance inakosekana
 
Naam ndo maana sisi Kataa ndoa hatutaki kabisa kujihusisha na hicho kifungo. Kila mtu aishi kwa uhuru na kwa kupenda sio tufungamane tuanze kuishi kwa sheria na maelekzo!
KATAA NDOA TUNZA FURAHA YAKO
 
Back
Top Bottom