Dakarai
JF-Expert Member
- Jan 17, 2023
- 671
- 1,245
Mkuu kuna point nakazia hapo.NAkubaliana na ww kwa asilimia 100% juu uhuru huo uloeleza kwan mm pia naheshimu haki na utu wa mwanamke duniani.
Lakini tatizo lako haliapply kwa shusho hata kidogo.
Mkuu shusho aliolewa akiwa na miaka 19 ambayo kwa mtu ambae hakwenda shule ni mmama .mm by 19 mama yangu alikuwa na 2 kids.
Pili ndoa ni mkataba wenye maadili yake.kinachotokea ni ulimbukeni wa exposure baada ya mafanikio.ntatoa mfano wa wakinga kariakoo.
Wanawake wakinga huwa sio wazuri ni wafupi na shapeless na wanasura za babu.
Sasa wakinga wakiwa kwao huwa hawana exposure wanajikuta wanachagua mke out of love na limited expoure .wanaoa kikristo na wanaanza saka mali na mkewe .
Sababu ni wapiganaji na wabahili wanajikuta wanapata mtaji mkubwa ndani ya 2 to 5yrs .ndo kwa konekshen ya ndugu zao wanaingia kariakoo.
Hapo wanajuana waaminifu sana kuna mkinga nlimlipa milion nkatega kwa kuongeza elfu kumi asee alipiga na simu kabisa .
Sasa wanakopeshana mzigo zana unakuta ndani ya miaka miaka 10 anakuwa bilionaire ashanunua mahotel na migorofa kama yote.
Tatizo sasa anguko la wakinga limepatikana vyema .ni walaini kwa pisi kali unakuta wanaacha wake zao ili waoe mislay qeen.yaan wakinga ndo madanga wa makahaba dar.
Hapo wamejikuta wanajiingiza kwenye starehe na wengi nawajua wameachana na ndoa na wamefilisika.
Nini point yangu? Ndoa ukiifunga hususan ya kikristo ni mkataba na Mungu .biblia haiatoa takwa la mwanamke kumpenda mume limeagiza kumuheshimu.kupenda ni jambo la wanaume .mara ngapi mwanamke asie kupenda ukilala nae tu anabadilika ? Mwanaume kwa manamke asiempenda hata atoe tigo haisaidii.
Ukiingia na mtu ndoa ya kikristo kama ulikosea au uliingia kwa dhiki kaa na ndoa yako kuheshimu mungu sio mume.
Shusho aliolewa akiwa na umri wa kufanya maaamuzi 19 akamuapia mume kwa mungu .leo ametenda dhambi isiyo na msamaha inaitwa KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU.Yaan kusema mungu alimuonesha avunje ndoa akamtumikie .dhambi ya kumsingizia mungu uongo
Mwanaume anayetafuta mweza wakuishi nae kwa misingi ya kupendwa mara nyingi huwa anafeli
Kwasabab mwanamke hapaswi kumpenda mwanaume ili aishi nae
Bali ni kumheshimu kunatosha.