Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Huo mstari wako wa mwisho ndo lengo la mleta mada.. ujumbe upo indirect zaidiBilioni 7.2 kwa urefu wa mita 61 tena single lane bila kuwa na pedestrian. Ni wizi mkubwa hapo tayari, mleta mada umemuharibia mama badala ya kusifu.
Kaburi halilali waziKuna mtu kafufuka hapo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa nani kafufuka mkuu?Kaburi halilali wazi
Ahsante mkuu!Hizo ni gharama za daraja pamoja na barabara ya Mohoro- Mbuchi- Mwera, yenye urefu wa km 35 na sio daraja peke yake.
Hivi unajua bil 7 wewe?! Inashangaza mno kwa hela zote hizo kujenga daraja la kuunganisha vyuma. Madaraja hayo ni ya dharura na hujengwa na Jeshi kwa muda mfupi sana na hilo halipaswi kamwe kuzidi billioni 2!Salaam wakuu,
Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.
Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.
Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.
Kazi iendelee.
Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.
Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Umeeleweka kiasi chake.Halafu kesho mkiona vituo vya mafuta vinaota kama uyoga mnashangaa. Wakati mama ye anaamini amefungua nchi ndio maana watu wanafanya maendeleo.
Unataka tufanyeje mkuu, tuandamane?Nyie endeleeni kuweka joking wakati watu wanatumbua pesa ambazo zinapaswa kujemga misingi kwa ajili ya watoto wetu, Wabongo ni watu wajinga sana, pesa zinapigwa na comment za watu unakuta ni asilimia 99 zemejaa utani tupu
Hapo nimekuelewa turudi sasa kwenye daraja la bilioni 7.2Mzee rufiji sio mloka pekee...
Huko mloka hakuna basi moja pekee kuna tokyo takara za mpare zinaenda na kurejea dar... na stand ipo pale mbagala na sasa imeamishiwa stand mpya huko maeneo ya kijichi kama sikosei
Piq rufiji ukiqcha mloka kuna ikwiriri ambapo kuna magari kila dakika kuanzia saa kumi na moja asubuhi mpaka saa mbili usiku kwenda na kurudi dar
Pia kuna muhoro ambayo ni rufiji pia kuna magari mengi ya kwenda huko kama ilivyo ikwiriri
Rufiji makao makuu yake ni utete ambapo pia kunq magari ya kwenda huko kupitia nyamwage na magari yapo kuanzia asubuhi mpaka mchana saa tisa mwisho kutoka dar utete na utete dar
Baada ya hapo ndio kuna vijiji sasa ambayo vina pakana na hifadhi ya rubada na hifadhi zingine za tfs pamoja na nyerere ambayo zamani ilikuwa selou
Ukiachilia hayo kuna maendeleo yana pigwa sana na miradi mbalimbali ina fanyika na imefanyika huko... na kupitia mradi huu wa umeme, vijana wengi wa rufiji wamenufaika sanaaaaa
Vijana wamejenga nyumba zao kwa kupitia mradi huu... nawafahamu vijana wengi sana... nyumba za matofari sio zile zenu za miti na udongo za zama zenu
Pia rufiji ina shule za advance tofauti na kipindi chenu, na zina fanya vizuri sana... shule hizo ni utete sekondary wao wana michepuo ya sayansi kma ilivyo mkongo sekondary, kuna mohoro nq ikwiriri...
Zamani shule ilikuwa ni kibiti na ikwiriri na mkongo pekee na advance ilikuwa kibiti pekee wilaya nzima
Dar rufiji zamani ilikuwa una safiri siku tatu mpaka nne... na kabla ya daraja la mkapa basi pale ndundu ferry ilikuwa ni balaa kuvuka, na huku mkongo kwenda wilayani utete ilikuwa ni mitumbwi tu....
Watu wameliwa na mamba na viboko...!
Sasa hivi kuna kituo cha utafiti kingupira cha wanyama pori... kuna veta ina enda kukamilika, kuna lami makao makuu ambayo ni kipindi kirefu sana haikuwepo nq hiv karibuni itakuwa historia kutoka dar mpaka makao makuu ya wilaya ni lami tu bila kugusa vumbi kwa kuwa mkandarasi yupo site ana jenga kipande cha kilomita chache kwa kiwango cha lami kuunganisha nyamwage na makao makuu ya wilaya (utete)
Wewe mwenyeji wa rufiji jitahidi kuwapa elimu ndugu zetu waweze kuamka na sio kuwa laumu.... watoe huko swekeni, wasibaki kula mahindi ya malao, walime kibiashara yani kifupi wafanye kazi wapate pesa kuendesha maisha, hakuna serekali itakayo mpelekea mtu pesa ya kula pasipo kufanya kazi kwq ustawi wake na taifa
Yaani kuweka daraja la temporary wanasifia hivyo.... Mbona ni kama wameli stretch tu na kukaza nuts...!!Salaam wakuu,
Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.
Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.
Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.
Kazi iendelee.
Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.
Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Daraja/barabara hujengwa na wakazi wa eneo husika!?..huko kupigwa kwa watu wa rufiji kunakujaje kwenye miundombinu ya serikali!?..acha chuki za kijinga na watu wa rufiji!!..ulitaka wachange wanunue mabasi mazuri zaidi ya akida!?..watu wengine huwa mmebeba nini vichwani!?Huku ni kwetu kwa 100%, hakuna watu wajinga na wanapigwa hela kama watu wa Rufiji wao wanajiona wanajua kila kitu. Ni watu wa hovyo sana hii jamii. Wana maisha duni sana na wana ardhi nzuri nenda ukaone maisha yao. Sasa hilo daraja wanaona kama vile wametengenezewa kitu cha maana. Baranbara zao zipo duni sana.
Nenda pale Temeke Sudan kaangalie mabasi yao ya kwenda Rufiji ni moja tu ndio roho yao basi la Akida, hawa watu wanatakiwa kupatiwa elimu ya mageuzi ya kifikra kubwa sana. Unatoka Dar es Salaam pale Temeke mpaka kuingia Rufiji kule Mloka ni siku nzima. Huyu Mchengelwa yupo na Wabunge wa huko wapo kimya. Hili daraja ni kituko cha mwaka. Wanasiasa hasa CCM wameshaona wakazi wa Rufiji hawafai kupewa maendeleo.
Hongera kwa kulitambua hilo,watu wanaweka utani kwenye mambo ya muhimu yahusio mustakabali wa taifa hakika watanzani tupo gizani tena giza totoro,tuna safari ndefu sana ya kuja kutoka kwenye fikra za kutojitambua ,Mungu atusaidie hakikaNyie endeleeni kuweka joking wakati watu wanatumbua pesa ambazo zinapaswa kujemga misingi kwa ajili ya watoto wetu, Wabongo ni watu wajinga sana, pesa zinapigwa na comment za watu unakuta ni asilimia 99 zemejaa utani tupu
Mbona hata Waziri Mkuu kawapongeza tanroad kwa ubunifu huo na kwamba mavyuma hayo yameokoa mabilioni ya pesa. Hivyo tutegemee kuona madaraja mengi yakijengwa gharama hiyo ya TSh 120 million kwa kila mita moja ya urefu (7.2 billion Γ· 61 meters)!!!Bilioni 7.2 kwa urefu wa mita 61 tena single lane bila kuwa na pedestrian. Ni wizi mkubwa hapo tayari, mleta mada umemuharibia mama badala ya kusifu.
CCM haiupingi mwingi Bali mlipa Kodi anaupiga mwingi!!Salaam wakuu,
Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.
Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.
Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.
Kazi iendelee.
Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.
Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi.
Tumewaseti watu wapongeze, then tunawapa elfu 50 kila mmoja. Angalia Video. Majaliwa mjanja sana
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Kilo moja ya Chuma shilingi ngapi?. Na hapo zimelazwa Chuma zenye uzito wa kiasi gani? Ili tupige hesabu!Hongera Sana Serikali kwa kulinda fedha za umma ,bil 7 imetumika vizuri hapo kwa hayo machuma.
Ok. Kwa hiyo liko chini ya kiwango fedha haiendani na thamani ya daraja au tatizo muda wa matumizi ni miaka 25? Hongera kwa kujadili hoja, baadhi wanatema tu sumu mithili ya joka dragonπππBilioni 7 zingeweza kujenga daraja la zege, la kudumu na chenchi kubaki kwa maendeleo mengine! Hilo ni daraja la muda ambalo life span yake haitazidi miaka 25 kabla kudai matengenezo!