dev senior
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 458
- 557
Hapana huyo kijana ni chawa, mbaya zaidi anajiona yupo sahihi hapo. Ni moja wa vijana wa kimkakati waliomo humu jf na sehemu nyingine kusway audience isiyojielewa.Huo mstari wako wa mwisho ndo lengo la mleta mada.. ujumbe upo indirect zaidi
sijaelewaNdio uwezo wa daraja letu la Kisasa
Propaganda.Kwanini mnazidi kuumia kwa jambo la kupotosha, hizo bilioni 7 ni pamoja na ujenzi wa barabara ya km35
Waacheni watafuneMradi pekee ulianzishwa na mama na kuukamilisha. CCM HOYEEE, mchengerwa HOYEEE. B .7'HOYEEE ( in makongoro voice)
Najaribu kusoma Comments hapa Siwaoni Wakimpongeza Mama Samia, sio UVCCM wala UWT wala CCM wenyewe!UVCCM wanasemaje
Mkuu tafadhali sana kwa heshima.. Usilitaje bure jina la MUNGU!! Tafadhali sana piga siasa kivingine sifia na kuabudu kivingine but.. Usilitaje bure jina la MUNGU!!Salaam wakuu,
Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.
Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.
Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.
Kazi iendelee.
Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.
Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi.
Tumewaseti watu wapongeze, then tunawapa elfu 50 kila mmoja. Angalia Video. Majaliwa mjanja sana
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Tumeambiwa thamani ya hilo daraja tu, au labda imetumika vyuma aina ya platinumKwanini mnazidi kuumia kwa jambo la kupotosha, hizo bilioni 7 ni pamoja na ujenzi wa barabara ya km35
Kule kwetu kama unaenda utadhani upo katika hadithi za vitabuni zama.za utumwa. Sijui nini kifanyike kutoa hii jamii katika usingizi mzito. Kule sijui kupo vipi wana mali nyingi sana ardhi nzuri na misikiti imejaa utadhani ndio Waarabu wenyewe.Last wiki nilikua na zoezi moja wilaya ya rufiji..hali inatisha sana asee..barabara mbovu sana..jamii imechoka sana.
#MaendeleoHayanaChama
Angalia akili yako sasa. Unajua Moshi na Bukoba inajengwa na wakazi husika je wewe kama mtu wa Rufiji umejenga nini?Daraja/barabara hujengwa na wakazi wa eneo husika!?..huko kupigwa kwa watu wa rufiji kunakujaje kwenye miundombinu ya serikali!?..acha chuki za kijinga na watu wa rufiji!!..ulitaka wachange wanunue mabasi mazuri zaidi ya akida!?..watu wengine huwa mmebeba nini vichwani!?
Bil 7 mkuuHivi umesema milioni 700 au Bilion 7 ?
Tumepigwa tenaBil 7 mkuu
Ndiyo hivyo. Tutafanyaje sasaTumepigwa tena
Mh hivi lina urefu gani?Hongera Sana Serikali kwa kulinda fedha za umma ,bil 7 imetumika vizuri hapo kwa hayo machuma.
Kwa kukilinda chama chetu cha mapinduzi; jumuiya zetu pamoja na sisi wanachama tunapaswa kuwa mstari wa mbele kuhoji au kukosoa pale tunapoona mambo hayako sawa. Tusiwe wapongezaji na wasifu juhudi tu, tunayo nafasi ya kuhoji pia.
Je, hili daraja lina thamani ya B. 7?View attachment 2431644
Eti misikiti imejaa utadhan ndio uarabun [emoji23][emoji23]Kule kwetu kama unaenda utadhani upo katika hadithi za vitabuni zama.za utumwa. Sijui nini kifanyike kutoa hii jamii katika usingizi mzito. Kule sijui kupo vipi wana mali nyingi sana ardhi nzuri na misikiti imejaa utadhani ndio Waarabu wenyewe.