Angalia daraja Mbuchi na Mbwera Kibiti la Bilioni 7.2 lililojengwa na Rais wetu Mpendwa Samia Suluhu. Tujipongeze


Waziri mkuu hapo alizindua kibanda cha mlinzi huko tabora chenye gharama ya milioni 13 na hapo akiteta jambo na viongozi wenzake
 
Sijaelewa shida iko wapi kwa hili daraja..

Pili Kuna watu wanachukia Rais akisifiwa na kuja na fix kibao ooh sijui wanasetiwa kwa 50,000 na blaa blaa za kijinga.
 
Pesa zimepigwa wapi hapo?
 
Ni jambo la muda tu kabla yule mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serekali au mtu mmoja kule bungeni atumie nafasi yake kuhoji kipi kilichofikisha daraja hilo kuwa hizo billions
Una uhakika? Unajua maana ya 62m? Kwanza kwa navyowajua TanRoads hiyo Pesa bado Ni ndogo kukamilisha huo mradi.
 
Jinyonge tuu mzee Wala usipate shida πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221129-085223.png
    179 KB · Views: 2
Bila miundombinu hizo Baraka zako za ardhi zitakusaidia Nini?

Ndio madaraja yameanza kuwekwa hivyo
 
Wengi wao wapumbavu na wanaohemka achana nao.

Hayana hata BoQ kujua Nini kimefanyika Ila yanapayuka tuu.
 
Hotuba Kali ndio italeta mvua ? 😜😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…