Angalia picha zinaongea zenyewe kuhusu wale vijana waliotimuliwa katika wizara zao

Angalia picha zinaongea zenyewe kuhusu wale vijana waliotimuliwa katika wizara zao

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
Mwezi wa kwanza: Sasa ndugu yangu unajua kwanini nimekwita tukutane hapa?

Nepi: Hapana ndugu yangu, hebu niambie..

Mwezi wa kwanza: Mimi nina nia ya kupambana na yule mama katika kinyang'anyiro cha kumpitisha mgombea wa chama katika uchaguzi mkuu, hivyo kama katibu mwenezi mstaafu, ninaomba sana support yako ili kuniongezea nguvu ya kumbwaga yule mama.

Nepi: enhee nikishakupa support halafu ukifanikiwa kupita na kumbwaga yule mama, mimi nae utanilipa nini kama fadhila. Maana ujue hapo utakuwa umeniweka kwenye hatari kubwa kichama hasa kwa mtu alieniamini na kunikubali kama mama?

Mwezi wa kwanza: Wewe usiwe na shaka ndugu yangu, hilo la kukulipa fadhila mimi nalijua sana. Na tulishakaa na mzee tukapanga kuwa wewe nitakupa ukiranja wa mawaziri wote.

Nepi: You mean uwaziri mkuu?

Mwezi wa kwanza: Ndio ndugu yangu au wewe unaonaje?

Nepi: Hapo sawa ndugu yangu, nitakuwa nyuma yako kwa support yoyote utakayoihitaji, kikubwa usije kunigeuka kama Msoga alivyomgeuka hayati Monduli hadharani.

Mwezi wa kwanza: Aa wapi ndugu yangu mimi sio Msoga na kamwe siwezi kufanya hivyo.

Nepi: Sawa ndugu yangu... kuna lingine?

Mwezi wa kwanza: Hakuna lingine, kikubwa tu hili liwe siri yetu mimi na wewe mpaka muda utapofika wa kuanza kampeni zetu za chini chini.

Nepi: Haina shaka ndugu, nakuaminia kaka.

Mwezi wa kwanza: Haya asante ndugu yangu.

Baada ya kikao chao wakaagana.
 

Attachments

  • GTFW_brXMAEeFnu.jpg
    GTFW_brXMAEeFnu.jpg
    128.6 KB · Views: 5
Baada ya mkuu wa nchi na mwenyekiti kuletewa za chini ya kapeti na kuwatimua wakakutana tena chemba na jezi zao..

Mwezi wa kwanza: Dah ndugu yangu unaona sasa umetibua mipango mapema mpaka tumetolewa wizarani?!

Nepi: Kwani ni nani aliekwambia uanze kuwaambia watu wengine mipango yako, kabla ya muda na wakati ulisema unasubiri muda sahihi wa kampeni za chini chini?

Mwezi wa kwanza: Kwani ni mimi ndio niliowaambia au ni wewe ndo ulieenda kuropoka, watu wakayachukua na kumfikishia mkuu!!

Nepi: Ndugu yangu nimeshakwambia sio mimi na wala sihusiki na waliotoa siri zako. Unaona sasa ushaniponza na mimi kwa tamaa zako...

Mwezi wa kwanza: Sasa kama na wewe unakataa ni nani aliepeleka au kuongea habari ambazo tuliziongea tukiwa wawili tu. Anyway labda ni yule jamaa alietupiga picha alisikia maongezi yetu... dah....

Nepi: Yah labda ni yeye kweli.. dah.. tumekwisha..
 

Attachments

  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    24.4 KB · Views: 5
Mwezi wa kwanza: Sasa ndugu yangu unajua kwanini nimekwita tukutane hapa?

Nepi: Hapana ndugu yangu, hebu niambie..

Mwezi wa kwanza: Mimi nina nia ya kupambana na yule mama katika kinyang'anyiro cha kumpitisha mgombea wa chama katika uchaguzi mkuu, hivyo kama katibu mwenezi mstaafu, ninaomba sana support yako ili kuniongezea nguvu ya kumbwaga yule mama.

Nepi: enhee nikishakupa support halafu ukifanikiwa kupita na kumbwaga yule mama, mimi nae utanilipa nini kama fadhila. Maana ujue hapo utakuwa umeniweka kwenye hatari kubwa kichama hasa kwa mtu alieniamini na kunikubali kama mama?

Mwezi wa kwanza: Wewe usiwe na shaka ndugu yangu, hilo la kukulipa fadhila mimi nalijua sana. Na tulishakaa na mzee tukapanga kuwa wewe nitakupa ukiranja wa mawaziri wote.

Nepi: You mean uwaziri mkuu?

Mwezi wa kwanza: Ndio ndugu yangu au wewe unaonaje?

Nepi: Hapo sawa ndugu yangu, nitakuwa nyuma yako kwa support yoyote utakayoihitaji, kikubwa usije kunigeuka kama Msoga alivyomgeuka hayati Monduli hadharani.

Mwezi wa kwanza: Aa wapi ndugu yangu mimi sio Msoga na kamwe siwezi kufanya hivyo.

Nepi: Sawa ndugu yangu... kuna lingine?

Mwezi wa kwanza: Hakuna lingine, kikubwa tu hili liwe siri yetu mimi na wewe mpaka muda utapofika wa kuanza kampeni zetu za chini chini.

Nepi: Haina shaka ndugu, nakuaminia kaka.

Mwezi wa kwanza: Haya asante ndugu yangu.

Baada ya kikao chao wakaagana.
Wahuni waliobobea chukuwachakomapema!
🤣😅😆
 
Makamba the next president. Rain comes or not!
Unanikumbusha jamaa mmoja humu ilikua 2015 mwanzoni, alikua na hizi ndoto kwa lowassa. Ulikua humuambii kitu kuhusu lowassa😂
Alikua na pumzi ya kubishana na kuweka post za kila aina kuwa lowassa lazima awe raisi.
Sijui sasa hivi yuko wapi yule jamaa, siasa ukiwa na hulka kama yako utakufa kwa ugonjwa wa moyo
 
Back
Top Bottom