Angalia picha zinaongea zenyewe kuhusu wale vijana waliotimuliwa katika wizara zao

Angalia picha zinaongea zenyewe kuhusu wale vijana waliotimuliwa katika wizara zao

Mwezi wa kwanza: Sasa ndugu yangu unajua kwanini nimekwita tukutane hapa?

Nepi: Hapana ndugu yangu, hebu niambie..

Mwezi wa kwanza: Mimi nina nia ya kupambana na yule mama katika kinyang'anyiro cha kumpitisha mgombea wa chama katika uchaguzi mkuu, hivyo kama katibu mwenezi mstaafu, ninaomba sana support yako ili kuniongezea nguvu ya kumbwaga yule mama.

Nepi: enhee nikishakupa support halafu ukifanikiwa kupita na kumbwaga yule mama, mimi nae utanilipa nini kama fadhila. Maana ujue hapo utakuwa umeniweka kwenye hatari kubwa kichama hasa kwa mtu alieniamini na kunikubali kama mama?

Mwezi wa kwanza: Wewe usiwe na shaka ndugu yangu, hilo la kukulipa fadhila mimi nalijua sana. Na tulishakaa na mzee tukapanga kuwa wewe nitakupa ukiranja wa mawaziri wote.

Nepi: You mean uwaziri mkuu?

Mwezi wa kwanza: Ndio ndugu yangu au wewe unaonaje?

Nepi: Hapo sawa ndugu yangu, nitakuwa nyuma yako kwa support yoyote utakayoihitaji, kikubwa usije kunigeuka kama Msoga alivyomgeuka hayati Monduli hadharani.

Mwezi wa kwanza: Aa wapi ndugu yangu mimi sio Msoga na kamwe siwezi kufanya hivyo.

Nepi: Sawa ndugu yangu... kuna lingine?

Mwezi wa kwanza: Hakuna lingine, kikubwa tu hili liwe siri yetu mimi na wewe mpaka muda utapofika wa kuanza kampeni zetu za chini chini.

Nepi: Haina shaka ndugu, nakuaminia kaka.

Mwezi wa kwanza: Haya asante ndugu yangu.

Baada ya kikao chao wakaagana.
Wanapanga kupindua meza hapo
 
MAKAMBA na NAPE ni watoto wadogo mno (kisiasa), hawawezi kuongoz nchi hii. Ndani ya CCM, mtu anayeweza kumrithi Mama na akaendeleza mema yote ni Dr. Nchimbi.
 
MAKAMBA na NAPE ni watoto wadogo mno (kisiasa), hawawezi kuongoz nchi hii. Ndani ya CCM, mtu anayeweza kumrithi Mama na akaendeleza mema yote ni Dr. Nchimbi.
Vipi Majaliwa, Hussein Mwinyi na Bashungwa.
 
Vipi Majaliwa, Hussein Mwinyi na Bashungwa.
Sikiliza Anko, Mh. Majaliwa atabaki na heshima kubwa akiishia hapo alipofikikia. Kwa busara zake naamini hatakuja kutamani kuwa Rais, japo wananchi wanampenda. Bashungwa mtoe kabisa kwenye kinyang'anyoro, ni mchanga sana. Mh.Mwinyi anaweza kutuvusha, ila atapambana na silka za Uzanzibari na kurithi u-baba wake. Lakini mpaka sasa nampa CREDIT.
 
Mwezi wa kwanza: Sasa ndugu yangu unajua kwanini nimekwita tukutane hapa?

Nepi: Hapana ndugu yangu, hebu niambie..

Mwezi wa kwanza: Mimi nina nia ya kupambana na yule mama katika kinyang'anyiro cha kumpitisha mgombea wa chama katika uchaguzi mkuu, hivyo kama katibu mwenezi mstaafu, ninaomba sana support yako ili kuniongezea nguvu ya kumbwaga yule mama.

Nepi: enhee nikishakupa support halafu ukifanikiwa kupita na kumbwaga yule mama, mimi nae utanilipa nini kama fadhila. Maana ujue hapo utakuwa umeniweka kwenye hatari kubwa kichama hasa kwa mtu alieniamini na kunikubali kama mama?

Mwezi wa kwanza: Wewe usiwe na shaka ndugu yangu, hilo la kukulipa fadhila mimi nalijua sana. Na tulishakaa na mzee tukapanga kuwa wewe nitakupa ukiranja wa mawaziri wote.

Nepi: You mean uwaziri mkuu?

Mwezi wa kwanza: Ndio ndugu yangu au wewe unaonaje?

Nepi: Hapo sawa ndugu yangu, nitakuwa nyuma yako kwa support yoyote utakayoihitaji, kikubwa usije kunigeuka kama Msoga alivyomgeuka hayati Monduli hadharani.

Mwezi wa kwanza: Aa wapi ndugu yangu mimi sio Msoga na kamwe siwezi kufanya hivyo.

Nepi: Sawa ndugu yangu... kuna lingine?

Mwezi wa kwanza: Hakuna lingine, kikubwa tu hili liwe siri yetu mimi na wewe mpaka muda utapofika wa kuanza kampeni zetu za chini chini.

Nepi: Haina shaka ndugu, nakuaminia kaka.

Mwezi wa kwanza: Haya asante ndugu yangu.

Baada ya kikao chao wakaagana.
Hekaya za abunwasi hizi.
 
Mwezi wa kwanza: Sasa ndugu yangu unajua kwanini nimekwita tukutane hapa?

Nepi: Hapana ndugu yangu, hebu niambie..

Mwezi wa kwanza: Mimi nina nia ya kupambana na yule mama katika kinyang'anyiro cha kumpitisha mgombea wa chama katika uchaguzi mkuu, hivyo kama katibu mwenezi mstaafu, ninaomba sana support yako ili kuniongezea nguvu ya kumbwaga yule mama.

Nepi: enhee nikishakupa support halafu ukifanikiwa kupita na kumbwaga yule mama, mimi nae utanilipa nini kama fadhila. Maana ujue hapo utakuwa umeniweka kwenye hatari kubwa kichama hasa kwa mtu alieniamini na kunikubali kama mama?

Mwezi wa kwanza: Wewe usiwe na shaka ndugu yangu, hilo la kukulipa fadhila mimi nalijua sana. Na tulishakaa na mzee tukapanga kuwa wewe nitakupa ukiranja wa mawaziri wote.

Nepi: You mean uwaziri mkuu?

Mwezi wa kwanza: Ndio ndugu yangu au wewe unaonaje?

Nepi: Hapo sawa ndugu yangu, nitakuwa nyuma yako kwa support yoyote utakayoihitaji, kikubwa usije kunigeuka kama Msoga alivyomgeuka hayati Monduli hadharani.

Mwezi wa kwanza: Aa wapi ndugu yangu mimi sio Msoga na kamwe siwezi kufanya hivyo.

Nepi: Sawa ndugu yangu... kuna lingine?

Mwezi wa kwanza: Hakuna lingine, kikubwa tu hili liwe siri yetu mimi na wewe mpaka muda utapofika wa kuanza kampeni zetu za chini chini.

Nepi: Haina shaka ndugu, nakuaminia kaka.

Mwezi wa kwanza: Haya asante ndugu yangu.

Baada ya kikao chao wakaagana.
Majizi wapo katika peack zao
 
Sikiliza Anko, Mh. Majaliwa atabaki na heshima kubwa akiishia hapo alipofikikia. Kwa busara zake naamini hatakuja kutamani kuwa Rais, japo wananchi wanampenda.
Kwanini unafikiria akiishia hapo itakuwa bora na heshima zaidi kwake kuliko akiwa raisi akakabidhiwa rungu na kufanya vizuri zaidi, maana hatokuwa na mtu wa kumfunga kengele wala kumzuia kufanya kile anachoamini ni kizuri kwa mustakabali wa taifa?
Bashungwa mtoe kabisa kwenye kinyang'anyoro, ni mchanga sana.
Mchanga kiumri, kisiasa au kiuongozi?
Mh.Mwinyi anaweza kutuvusha, ila atapambana na silka za Uzanzibari na kurithi u-baba wake. Lakini mpaka sasa nampa CREDIT.
Mwinyi kila mtu sasa anafaham kuwa ni mtanganyika original, japo baba yake alienda Zanzibar kusoma dini na kuamua kuchukua uraia wa kule. Lakini hilo halimuondolei uasili wake wa huku na ndiomaana aliwahi kuwa mbunge wa mkuranga kwa zaidi ya miaka 20. Baba yake mwenyewe mzee Mwinyi ana makazi na mashamba kibao huko kwao Mkuranga. Sasa hayo mambo ya yeye kusema ni mzanzibar yatatoka wapi na ukizingatia hii nchi kwa sasa ni moja?
 
Kwanini unafikiria akiishia hapo itakuwa bora na heshima zaidi kwake kuliko akiwa raisi akakabidhiwa rungu na kufanya vizuri zaidi, maana hatokuwa na mtu wa kumfunga kengele wala kumzuia kufanya kile anachoamini ni kizuri kwa mustakabali wa taifa?

Mchanga kiumri, kisiasa au kiuongozi?

Mwinyi kila mtu sasa anafaham kuwa ni mtanganyika original, japo baba yake alienda Zanzibar kusoma dini na kuamua kuchukua uraia wa kule. Lakini hilo halimuondolei uasili wake wa huku na ndiomaana aliwahi kuwa mbunge wa mkuranga kwa zaidi ya miaka 20. Baba yake mwenyewe mzee Mwinyi ana makazi na mashamba kibao huko kwao Mkuranga. Sasa hayo mambo ya yeye kusema ni mzanzibar yatatoka wapi na ukizingatia hii nchi kwa sasa ni moja?
Nchi apewe mpina tu
 
Back
Top Bottom