Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #21
Kalaga baho myanguHizi picha ni za muda mrefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalaga baho myanguHizi picha ni za muda mrefu.
Vichaa pia walishaongoza....Nchi hii hakuna mtu anaeshindwa kuongoza, labda kichaa peke yake!
Kwa vile muotaji ni wewe basi haina haja ya kukuamsha mkuu.Makamba the next president. Rain comes or not!
Japo kusoma ni shida lkn hata picha pia hauzioni zinavyojieleza?Yaaani Huyo unamwita Nepi ndio awe Waziri Mkuu?Upuuuzi mtupu japo ni maongezi na maandishi ya nadharia lakini hanauwezo huo kilaza yule
Imetumika lugha ya nyumbani mkuu 😀😀Hahaha, eti mwezi wa Kwanza!
Hata kujimilikisha jasho la walipa kodi bila ridhaa zao nayo ni dhambi.Acha kuchafua watu ni dhambi,Japo kwa hili namuunga mkono mama
Na wewe onganisha tu mkuu haina shida.Hahaha aisee wabongo kwa kuunganisha matukio mpo vizuri.
HahahahaLabda Rais wa wasafi
Hahahaha..Nepi-
ila yakitokea ya kutokea mi ntapiga magoti tu kuelekea ikulu Kuomba msamaha,
Safari hii nipite ocean road eeh
Wameingizana chaka wenyewe 😀😀😀Wahuni waliobobea chukuwachakomapema!
🤣😅😆
Nchi hii hata Nabii Tito anaweza kushika hatamu na nchi ikaendaYaaani Huyo unamwita Nepi ndio awe Waziri Mkuu?Upuuuzi mtupu japo ni maongezi na maandishi ya nadharia lakini hanauwezo huo kilaza yule
Huenda yupo humu ila kabadilisha tu ID na mtu wa kum support 🤣🤣Unanikumbusha jamaa mmoja humu ilikua 2015 mwanzoni, alikua na hizi ndoto kwa lowassa. Ulikua humuambii kitu kuhusu lowassa😂
Alikua na pumzi ya kubishana na kuweka post za kila aina kuwa lowassa lazima awe raisi.
Sijui sasa hivi yuko wapi yule jamaa, siasa ukiwa na hulka kama yako utakufa kwa ugonjwa wa moyo
Maybe unabishana na makamba mwenyewe mkuu, huwezi jua...Hata Lowassa na Seif Sharrif Hamad walikuwa wanasema hivyo hivyo. Walikufa wakiwa wanaziona Ikulu kwa mbali.
Yaani mwizi wa mitihani wa Galanos awe Rais wa Tz? Are you sick?
Washaongoza nchi au milembe?Vichaa pia walishaongoza....
Alikua anasumbua sana, tulikua tunamuambia tuliza wenge mambo hayaendi vile unavyopenda wwHuenda yupo humu ila kabadilisha tu ID na mtu wa kum support 🤣🤣
😹😹😹Washaongoza nchi au milembe?
Tatizo humu watu wanatumia ID tofauti na majina ya kweli. Mfano huyo jamaa aliekuwa anasumbua huenda alikuwa yule mtoto wa Lowasa ambae leo hii ni mbunge kupitia CCM. Hivyo baada ya baba yake kushindwa akaamua kubadilisha ID nyingine ili msimsumbue kumuuliza sababu za alietegemea kushinda ameshindwa.Alikua anasumbua sana, tulikua tunamuambia tuliza wenge mambo hayaendi vile unavyopenda ww
Huyu sexless nae kawehuka toka makamba katenguliwa, hana furaha kabisa ana maumivu makali. Mambo hayapo vile tunatamani yawe
Yawezekana kabisa !! Kama siyo yeye basi ni vijana wake anaowalipaMaybe unabishana na makamba mwenyewe mkuu, huwezi jua...