Uchaguzi 2020 Angalizo: Kumdhibiti Godbless kunahitaji " timing" vinginevyo watatumbuliwa watendaji wote wa Arusha!

Jaffo kwa sasa anaulazimisha uwaziri mkuu kwa kila aina ya vibweka
 
Lema ni hajafanya chochote arusha, wanaomshabikia ni wahuni tu, hamna cha maana alichofanya arusha zaidi ya kujiimarisha mwenyewe kiuchumi, kazi kutwa kushinda kwenye mitandao na maneno maneno tu mitandaoni na kushinda mahakamani
Naona umeamua kututukana sisi wana wa Arusha, maana mkoa mzima wa Arusha unampenda na kumkubali mh Lema
 
Tatizo la Arusha...... Wahuni wanapiga kura!
Kama wana ccm kwa makusudi mmeamua kututukana sisi wana wa Arusha, sawa mjiandae kisaikolojia maana safari hii tunaifuta ccm hadi vichochoroni
 
Ndugu John, ninakubaliana nawe 100%++++, kweli ike dhulma aliyoifanya waziri Jafo kwa yule kiongozi wa Tarura haisameheki, inabidi Raisi aliangalie jambo hili kwa jicho la tatu.

Road engineer anauhusikaje na ushawishi wa wananchi.

Pili kosa kubwa lilifanyika Arusha ni kumuondoa Gambo, ambaye aliweza kumudu Lema vizuri sana. Alipotumbuliwa Lema aligawa pombe nyingi sana, alifunga Bar watu wanywe bure.
 
Kamuonea sana ila haya mambo yana mwisho,yuko wapi kange lugola na tambo zake zote
Yuko wapi gambo na tambo zake! Hwajifunzi tu!
Yetu macho

JESUS IS LORD[emoji120]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Duh,masikini ndo maana Mungu anampigania na kumtetea!
Wote wanaopambana nae naona wao ndo wanaondoka wanamuacha!
Hawajaligundua hili!


JESUS IS LORD[emoji120]
 
Mmh,yaani Lema agawe pombe kwa kutumbuliwa gambo?!!!
Walioko Arusha wanajua ukweli,usitudanganye!
We fuatilia wote wanaopambana na Lema Leo hii wako wapi? Eti gambo alimumudu Lema?!! OK,yuko wapi ss na wenzake?
Kwa wenye uelewa wameshaelewa!


JESUS IS LORD[emoji120]
 
Lema ni hajafanya chochote arusha, wanaomshabikia ni wahuni tu, hamna cha maana alichofanya arusha zaidi ya kujiimarisha mwenyewe kiuchumi, kazi kutwa kushinda kwenye mitandao na maneno maneno tu mitandaoni na kushinda mahakamani
Nyie vijamaa vijinga sana.Sasa huo mradi uliokosa wahudhuriaji wa kijani umefanyika wapi? Na katika kipindi nani akiwa Mbunge? Au ili isemwe kafanya kitu ni mpaka atoe fedha mfukoni kwake kujenga barabara au hospitali. Amka bwana!!!😃😃.
Chochote kinachofanyika kwa ajili ya umma katika kipindi cha mbunge husika na credit anapewa huyo Mbunge
 
huyo harudi tena ndio mwisho wake arusha..wana arusha wameteseka sana wanaofurahia ni wahuni ambao hawana kazi mjini
 
Naona umeamua kututukana sisi wana wa Arusha, maana mkoa mzima wa Arusha unampenda na kumkubali mh Lema
acha kujitoa ufahamu ..wana arusha wameteseka vya kutosha, kwa miaka kumi, chini ya mbunge ambaye hawez hata kuisemea arusha na maendeleo, unashinda kutwa twitter na mahakamani kila siku kesi, mara anamdhihaki rais, mara kafanya hiki, mara kile, yani upuuzi tu, arusha kama tungekua na muwakilishi mzuri angeiwakilisha vizuri arusha pamoja na kwamba utalii unaibeba arusha , arusha ilitakiwa iwe mbali sana kimaendeleo, ma hayo maendeleo hayawez kuletwa kamwe na chadema, wala mbunge anayetokea chadema.
 
Lema ni hajafanya chochote arusha, wanaomshabikia ni wahuni tu, hamna cha maana alichofanya arusha zaidi ya kujiimarisha mwenyewe kiuchumi, kazi kutwa kushinda kwenye mitandao na maneno maneno tu mitandaoni na kushinda mahakamani

Aliyempeleka mahakanani (kumshitaki) Lema ni nani?

Ukimjuwa,

Mlaumu Huyo kwa Lema kushindwa kufikia malengo ya kuitumikia Arusha.
 
Wewe ndiyo unajitoa akili kwa makusudi, unaongelea mh Lema kutumia muda mwingi mahakamani? Huko mahakamani anajipeleka mwenyewe?

Kuitwa kichaa siyo lazima utembee uchi, naona wewe tayari ushakuwa kichaa tayari.

Sisi wana wa Arusha tupo na mh Lema hata mfanyeje hamuwezi kutubadilisha mawazo na mapenzi yetu kwa mh Lema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…