baki nayo yote mwenyewe...Zingatia ujumbe mkuu.....mengine niachie mwenyewe
Sawa ndugu mfamasia...... niwie radhi kwa usumbufu uliojitokeza kwenye biashara yako......baki nayo yote mwenyewe...
ki story hakina detail, haki make sense, tukibebe cha nini ?
Dawa ya 2,000/= umeuziwa 6,000/=
dawa gani ?
umeuziwa wapi ?
kwa nini hukirudi kwa 2000 ?
ulilazimishwa kuuziwa ya 6000 ?
Ndio maana maradhi ya figo yamekithiri sanaNa kuna baadhi ya vituo vya afya ukienda unabambikiwa magonjwa ili ununue dawa nyingi wapate faida. Nilishapewa dawa za vidonda vya tumbo wakati sina yaani watu wanawaza hela tu hayo mengine hayawahusu.
Yuko vizuri sana.Saf sana, kumbe mwamba yupo vzr nikajua anatamba Mbeya tu kumbe hadi Town huko,huku pia ukifika kwene pharmacy zake kuna sehemu maalum zakufanyia packagin yadawa zinazoenda sehemu mbali mbali kuna hadi boda special kwa ajili yakufanya delivery
Kwani mimi nimesemaje mkuu?Acha mambo ya kuaassume sema ulipigwa kitendo tu cha kuchungulia na kuangalia aliyekukatia tiketi yuko wapi basi ni lazima ulijisikia vibaya
Yeah...huwa wanampima mteja, ukijaa basi.Anakuotea
😅😅 Ku exaggerate Jambo mfano wewe ni observer wa Jambo / tukio Fulani
Mfano umeenda chooni ukakutana na nzi wakubwa wakubwa
Akatokea mtu akakuuliza wewe ukasema umeona NZI WAKUBWA KAMA TEMBO CHOONI
Huko ndipo ku exaggerate Jambo 😅😀😂
YesKumbe alimaanisha exaggeration kama ni hiyo naijua, nilihisi neno jipya kbs
Aga Khan kumuona daktar mbona nlikua nalipa 61 mwaka 2022? Au wameshusha Bei?Sasa ukienda agha khan si uyakuja unalia hapa,kumuona daktari 50,000 wakati vichochoroni 15000 mpaka 20,000
Biashara zina codes nyingi usione watu wanatajirika
Nilishangaa bei ya keki 15k mkoani kwa dar ni 60k,,Kwani wewe hujui Daslade Kila kitu Kiko Exaggerated and total manipulated? Kama tu mfano gharama ya kitu kama Cake ambayo mikoani inauzwa 20K Dar wanauza 50k ukiuliza kwa nini wanadai Decor Pumbavu Kwani watu wanaenda kula hayo Marangi rangi ya Urembo na Ukiharisha infact Dar Kila kitu Kiko
HatariMkuu,duka la dawa maeneo mengi bei za dawa ziko juu kulinganisha na phamacy..nitakupa mfano mmoja.
Drip la maji mtaani kwangu,huuzwa sh elf 5. Lakini phamacy huuzwa Tsh elf 1.
Apo wanacheza na supply and demand,Dar watu wenye uhitaji wa keki ni mkubwa tofauti na maeneo mengine huko ulikoonaNilishangaa bei ya keki 15k mkoani kwa dar ni 60k,,
Pole kwa kuchelewa kujua ila hiyo ni kawaida hata hospital ni hivyo hivyo watu wanapigwa kama kawaidaHabari za wakati huu ndugu zanguni.
Kama ilivyo ada na kawaida kuhabarishana habari mbali mbali zenye manufaa kwa ajili ya kuepushana na mambo yanayoonekana kutuathiri kwenye jamii na familia hii kwa ujumla wake.
Nimepata bahati mbaya ya kumuuguza mgonjwa hapa nyumbani kwangu mwenye ugonjwa wa muda mrefu anayelazimika kutumia dawa fulani kwa kila wiki.
Hali hiyo ilipelekea kuwa na bajeti ya kiasi cha Elfu 20 kila wiki ili kukidhi mahitaji ya mgonjwa wangu kimatibabu kwa maelekezo ya Daktari wake.
Nilikuwa navichukua kwenye pharmacy za mitaani wakinihakikishia kuwa dawa za namna hiyo ni adimu sana na hivyo ni ghali.
Walikuwa wananiuzia kila kidonge kiasi cha Elfu mbili.
Kuna siku ikatokezea pale wakawa hawana zile dawa, nikaona anamuita kijana wa boda boda ingawa walitaka kufanya siri lakini niliibahatika kunasa maongezi yao na kujua anapomuelekeza kwenda kuchukua.
Nikasikia jina la duka kubwa la pharmacy kubwa hapa Dar es salaam ambapo mimi mwenyewe nalijua lilipo.
Nikafanya maamuzi ya kwenda kununua huko nikamwambia basi siku nyingine nikamuona akawa mbishi kidogo lakini nikakomaa.
Kufika kule( huko kwenye hilo duka kubwa maarufu) nikakuta kule vile vidonge vinauzwa 6,000/= vyote kumi nilishtuka sana kutoka 20,000/= mpaka 6,000/= lakini ndio basi tena ikawa nimeshapigwa, yule binti mpaka leo ananionea haya.
NB: Nawasihi ndugu zanguni kama una uhitaji au matumizi ya dawa fulani wa muda mrefu jitahidi walau uzungukie maduka matano makubwa kujiridhisha maana hawa ndugu zetu wanaouza madawa wamepanga kuwa matajiri kupitia afya zetu na wapendwa wetu tunao wauguza.
Dar kumejaa matapeli na mimi nikiwemo usimuamini mtu daslamApo wanacheza na supply and demand,Dar watu wenye uhitaji wa keki ni mkubwa tofauti na maeneo mengine huko ulikoona
Duuh 15000 huku mtaani kwangu ni 5000 tuSasa ukienda agha khan si uyakuja unalia hapa,kumuona daktari 50,000 wakati vichochoroni 15000 mpaka 20,000
Biashara zina codes nyingi usione watu wanatajirika