DOKEZO Angalizo: Utapeli na wizi kwenye maduka ya Pharmacy/ biashara ya dawa za binadamu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Zingatia ujumbe mkuu.....mengine niachie mwenyewe
baki nayo yote mwenyewe...

ki story hakina detail, haki make sense, tukibebe cha nini ?

Dawa ya 2,000/= umeuziwa 6,000/=

dawa gani ?
umeuziwa wapi ?
kwa nini hukirudi kwa 2000 ?
ulilazimishwa kuuziwa ya 6000 ?
 
baki nayo yote mwenyewe...

ki story hakina detail, haki make sense, tukibebe cha nini ?

Dawa ya 2,000/= umeuziwa 6,000/=

dawa gani ?
umeuziwa wapi ?
kwa nini hukirudi kwa 2000 ?
ulilazimishwa kuuziwa ya 6000 ?
Sawa ndugu mfamasia...... niwie radhi kwa usumbufu uliojitokeza kwenye biashara yako......
 
Saf sana, kumbe mwamba yupo vzr nikajua anatamba Mbeya tu kumbe hadi Town huko,huku pia ukifika kwene pharmacy zake kuna sehemu maalum zakufanyia packagin yadawa zinazoenda sehemu mbali mbali kuna hadi boda special kwa ajili yakufanya delivery
Yuko vizuri sana.
 

Kumbe alimaanisha exaggeration kama ni hiyo naijua, nilihisi neno jipya kbs
 
Mbona watanzania wanapigwa tu left right up and down? Nenda makumbusho utapigwa kwenye simu, Kariakoo kila bidhaa, Bagamoyo ardhi, madalali nao wanapiga tu deile, ndio mfumo wa maisha ya nusu ubepari na nusu uchumi wa soko tatizo wa kwetu hauna standards na consumer protection tu kuhakikisha ukinunua basi hata kama umepigwa kisiwe feki tu! Kwetu unaopigwa na unakuta ni fekero pia halafu hauna wa kukutetea. Nchi za wenzetu wanazo hizo mechanisms
 
Sasa ukienda agha khan si uyakuja unalia hapa,kumuona daktari 50,000 wakati vichochoroni 15000 mpaka 20,000
Biashara zina codes nyingi usione watu wanatajirika
Aga Khan kumuona daktar mbona nlikua nalipa 61 mwaka 2022? Au wameshusha Bei?
 
Sioni utapeli wowote hapo,

Uyo dada Kaamua WINGA Kama ilivyo K'koo,karume n.k

Mbona k'koo mnanyooshwa Sana maduka ya USONI Ila hamlalamiki mnatapeliwa?
 
Nilishangaa bei ya keki 15k mkoani kwa dar ni 60k,,
 
Mm Kuna kipindi tulikuwa tunauguza mgonjwa Kuna sindano ilikuwa inahitajika ili tumcome alale,Tumeenda tunapochukuaga kila siku wakasema zimeisha tunanunuga chini ya elfu 10,tukaenda pharmacy karibu na duka la hospitali ya mkoa wao wanauza laki sindano Ile Ile ..Yaani unabaki unaduwaaa yaani kutoka elfu 10 mpaka laki aah parefu mno
 
Pole kwa kuchelewa kujua ila hiyo ni kawaida hata hospital ni hivyo hivyo watu wanapigwa kama kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…