Angalizo wababa: Mtoto wa kambo si wako, usitarajie haki zisizokuwa zako

Angalizo wababa: Mtoto wa kambo si wako, usitarajie haki zisizokuwa zako

Mimi binafsi baada ya kuachwa na KATUNGE ambae nilimbikiri mwenyewe kisa tu sipo Romantic niseme kuwa WANAWAKE HAWAELEWEKI

Pia naweza kuoa single mother endapo tu yule mtoto ataamini mimi ni baba yake mzazi na pia mama yake akiweza kuaminisha jamii kuwa huyo mtoto ni wangu

Kingine usitegemee msaada wala kuwekeza furaha yako kwa mtu mwingine ukimsomesha fanya kama unatoa sadaka tu usitegemee kulipwa wema

All in all single mother make sure mtoto wako anakuwa na adabu awe kivutia kwa watu hakuna baba mlezi anaemchukia mtoto mwenye akili watoto wenu mnawadekeza saana kitu ambacho wanaume hatupendi
 
Single mother ukiwa na mtoto wa kiume make sure kuanzia miaka 4-12 awe karibu na wajomba zake au ndugu zako wa kiume ili kumjenga mtoto kiume

Imagine unaoa single mother alafu mtoto wake wa kiume yupo kama mtoto wa uwoya ??[emoji852]
 
Kuoa single mother sio matumizi sahihi ya akili kwa kweli unamkosea Mungu ... Mungu katupa akili za kufirikia kwa nn uingie kweny matatizo yakitokea mabalaa unakimbilia kwa Mungu!
Mungu katutakaza kuzini ovyo tambua wewe umekubali mwanamke mzinifu.
 
Kuoa single mother sio matumizi sahihi ya akili kwa kweli unamkosea Mungu ... Mungu katupa akili za kufirkia kwa nnn uingie kweny matatizo yakitokea mabalaa unakimbilia kwa Mungu!
Mungu katutakaza kuzini ovyo tambua wewe umekubali mwanamke mzinifu.
Umemaliza bwashee
 
Unalijua hilo leo yaani hayo yapo toka zamani ila watu hawasikii sema tunaanza kujifunza kidogo kidogo angalau mwamko unauona

Kamwe usijihusishe na shamba la mgogoro
Kwenye ukoo wetu huruhusiwi kuoa mke ambaye ana mtoto wa kiume. Wakike naye inategemea baba yake mliachana vipi na huyo baba au labda awe amekufa
 
Single mother ukiwa na mtoto wa kiume make sure kuanzia miaka 4-12 awe karibu na wajomba zake au ndugu zako wa kiume ili kumjenga mtoto kiume

Imagine unaoa single mother alafu mtoto wake wa kiume yupo kama mtoto wa uwoya ??[emoji852]
Dada yangu ni single mother aliolewa lakini mtoto alichukuliwa na akalelewa.na wajomba zake. Pale nyumbani anakuja kusalimia tu. Na ndoa yake imetatibiwa na wajomba mwanzo mwisho.
 
Kwa hiyo bwana dimond na matoto ya zarina pale anaweza vunjwa mtu.
Watoto wa kike wana moyo wa upendo, hata boyfriend wa mama huwa wanaambiwa wamwite "anko" na wanakubali kiroho safi. Lakini mama naye awe makini kwani kuna wakati binti anaweza kumpa "anko" feelings za ukweli, na ukikuta anko baharia ndio hapo kuku na mayai zinaliwa.
Hakuna mvulana atakayeshadidia jidubwana linalonyandua mama yake!
 
Ukiwa na uhusiano na mwanamke mwenye mtoto, hasa wa kiume, siku zote yule mtoto anakuona kama mvamizi kwenye maisha yake na mama yake. Na akikua kidogo akajua unamnyandua mama yake, ujue atakuchukia kishenzi, wivu kabisa ule wivu wa kiume.

Atakuvumilia tu kwa kuwa unampa mama yake pesa, lakini hakupendi. Chochote utakachompa anakihesabu kama hongo kwa kuwa unamkula mama yake, usitegemee shukurani yoyote kwa sababu umeshaipata kwa mama yake na ujue hapendi unavyomkula.

Usitarajie kuwa ukija kumuoa huyo mama eti na huyo mtoto atakupenda, hilo nakuhakikishia halitatokea hata umfanyie nini. Na atakapopata mawasiliano na baba mzazi, basi hao watatu (mtoto, mama yake na baba yake) watakugeuza chumo, bwege mtozeni. Utalea mtoto wa mwenzio, akifikia kujimudu mwenyewe ataondoka kwako kama vile hakujui!

Ataanzisha makazi yake mapya na kuendeleza ule wimbo wa "nani kama mama", wewe utatelekezwa. Hata yule baba yake uliyekuwa unadanganywa kuwa hamjali mtoto utakuja kushangaa kujua kuwa kumbe alikuwa anamjali! Watakuwa wanakutana na mkeo kwenye shughuli za huyo mtoto wao! Ataitwa kuja kutoa jina la mjukuu, wewe utawekwa kando. Unahitaji kuwa na ngozi ngumu sana kuvumilia mambo kama haya uzeeni.
Duu? Nini kimekupata?
 
Hilo liko wazi mbona.
Ni vile vijana wa siku hizi ni wajinga na washamba.

Wanadanganywa kijinga na wanawake ati single mother awe Sawa na Mwanamke asiye na mtoto😀😀.

Mwisho matokeo wanaanza kulaumu wanawake Wabaya wakati wao ndio walikuwa mbumbumbu.

Mwanamke lazima avutie kwake na ajifanye ni mwaminifu ili uingie kingi. Subiri watoto wake wakue alafu muda huo umezeeka ndio utaimba Doremifaso latido
 
Mimi binafsi baada ya kuachwa na KATUNGE ambae nilimbikiri mwenyewe kisa tu sipo Romantic niseme kuwa WANAWAKE HAWAELEWEKI

Pia naweza kuoa single mother endapo tu yule mtoto ataamini mimi ni baba yake mzazi na pia mama yake akiweza kuaminisha jamii kuwa huyo mtoto ni wangu

Kingine usitegemee msaada wala kuwekeza furaha yako kwa mtu mwingine ukimsomesha fanya kama unatoa sadaka tu usitegemee kulipwa wema

All in all single mother make sure mtoto wako anakuwa na adabu awe kivutia kwa watu hakuna baba mlezi anaemchukia mtoto mwenye akili watoto wenu mnawadekeza saana kitu ambacho wanaume hatupendi

Wewe bado hujaelewa somo.

Single mother hawana shida, shida ni wanaume mbumbumbu wanaotegemea Embe kwenye Mnazi.

Mtoto wa single mother sio wako na hatakuja kuwa wako Kivyovyote vile hata uwekeze vipi.
Jambo hili utaanza kuliona ukishaanza kuishiwa nguvu Kwa uzee.
 
Back
Top Bottom