🤣🤣🤣Kwa hiyo Kaka Chibu Dangote anamlia Mingo Anko Shamte.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Kwa hiyo Kaka Chibu Dangote anamlia Mingo Anko Shamte.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Anajua si madangaji hayoSo alishawahi kukatafuna? Kama ndio maza alikubalije kuingia ktk love na njomba nchumari au alikuwa hajui?
Kila mtu ma afanye kile kilicho sahihi moyoni mwake na sio mioyoni mwa hadhiraUkiwa na uhusiano na mwanamke mwenye mtoto, hasa wa kiume, siku zote yule mtoto anakuona kama mvamizi kwenye maisha yake na mama yake. Na akikua kidogo akajua unamnyandua mama yake, ujue atakuchukia kishenzi, wivu kabisa ule wivu wa kiume.
oa jina la mjukuu, wewe utawekwa kando. Unahitaji kuwa na ngozi ngumu sana kuvumilia mambo kama haya uzeeni.
Uko sahihi, kuna poti mmoja jirani huwa akija mtoto wake wa kike...yule mama wa "kambo" uwa anatamani dunia isimame, na dingi haingilii.Nimeona familia nyingi mama wa kambo huwa anapata wakati mgumu kutengeneza uhusiano mzuri na watoto wa kike kuliko wa kiume. Na bahati mbaya ukute wamekua kua kidogo humo ndani mtakuwa kama wake wenza
Duuh hiyo nayo mbaya, baba anatakiwa amkanye mwanae huyo ni mama yakeUko sahihi, kuna poti mmoja jirani huwa akija mtoto wake wa kike...yule mama wa "kambo" uwa anatamani dunia isimame, na dingi haingilii.
Ila humu JF watu huwa wanaji hype sana yani ukiwa ni mgeni humu ukasoma comments za wachangiaji unaweza kuzimia kwa pressure.
Kiuhalisia wengi hapa mnao support mada wala sio maisha yenu na wengi mtaoa tu singo bibiz au masingo bibiz wenu kuolewa na wanaume wengine.
Acheni kujimwambafai wakati mnafwafwanzika uswahilini.
Mademu kibao unaenda kuokota single mother?Kiuhalisia wengi, single mother mwepuke if possible. Kamwe isiwe first priority, may be last kwamba umeshindwa kabisa. Nami nilikua mbishi na mawazomgando kama haya kwamba sio wote na hawanafanani.
Hata kama unaoa maintain financial status na usimpe money freedom. Jitahidi awe anakutegemea daily au asiweze kujikwamua kiuchumi kabisa. Otherwise hapana.
Naked truth mkuu, Kuna shangazi nalinyandua lina watoto wawili wakike na wakiume, Both wako Boarding schools ila yule wa kike akirudi tu shule yupo karibu sana na mimi mpaka outing tunaenda ofcourse ni kadogo kiumri kapo around 10 yrs ivi ila wakiume huwa hana furaha na mimi kabisa huyo mwanamke sikai nae kila mtu ana kwakeWatoto wa kike wana moyo wa upendo, hata boyfriend wa mama huwa wanaambiwa wamwite "anko" na wanakubali kiroho safi. Lakini mama naye awe makini kwani kuna wakati binti anaweza kumpa "anko" feelings za ukweli, na ukikuta anko baharia ndio hapo kuku na mayai zinaliwa.
Hakuna mvulana atakayeshadidia jidubwana linalonyandua mama yake!
Unachodhani ni sahihi moyoni mwako kinaweza kukuachia madhara ya kudumu ilhali hadhira ilikuwa na taarifa ambazo zingeweza kukuokoa. Evidence-based approach ni bora zaidi, na jamii inazo kumbukumbu nyingi kuhusu matokeo yaliyowapata watu kwa kupuuza ushauri.Kila mtu ma afanye kile kilicho sahihi moyoni mwake na sio mioyoni mwa hadhira
Ukioa huyu wa aina hii ujue siku zako zinahesabika. Huyo mwanaume ataendelea kumfatilia mkewe kwa shari na atataka kumdhuru au kukudhuru au vyote. Unaweza kuuawa, kuchomewa nyumba na madhila mengine ya namna hiyo.Sio wote, kuna wengine wameachana na wanaume wao kwa kufanyiwa ubaya wa hali ya juu kiasi walihatarisha uhai wao.
Mfano kuna huyu mmoja ambae alifanyiwa manyanyaso mpaka ikafika kipindi shemeji zake wakamshauri bora kuachana na ndugu yao la sivyo anaweza jikuta amekufa.
Baada ya muda alijionea mwenyewe na kuamua kuondoka na alijikuta anajuta sana mpaka leo hataki hata kumsikia huyo jamaa.
Kwa kushuhudia mwenyewe hata mtoto amemchukia sana baba yake na jamaa anasema mama anampa mtoto sumu.
Amewaachia mama na mtoto makovu kwa majeraha aliyosababisha yeye unadhani watamrudia?
Kila kukicha chuki inazidi baina yao na ndugu wa mume walifurahi walivyoona huyu bidada ametoka kwenye ndoa ya mateso na nusu.
Ameapa kutomsamehe huyo jamaa na mpaka sasa ameweza kumficha jamaa asijue bibie anapoishi mwaka wa 3 sasa.
Kwa hiyo wale walioachana kwa namna hii hawawezi kurudi mkuu, na zaidi wanahitaji tulizo kwa wanaume wenye kujua thamani yao.
Sometimes watoto hawawapendagi wazazi waliowazaa sembuse stranger sasa
Kwa hapa means hakuna palipo salamaWatoto wa kike wana moyo wa upendo, hata boyfriend wa mama huwa wanaambiwa wamwite "anko" na wanakubali kiroho safi.
Lakini mama naye awe makini kwani kuna wakati binti anaweza kumpa "anko" feelings za ukweli, na ukikuta anko baharia ndio hapo kuku na mayai zinaliwa.
Hakuna mvulana atakayeshadidia jidubwana linalonyandua mama yake!
Waambie haooMsiwazalishe zalishe sasa