Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
- Thread starter
- #41
Wewe kaoe single mother yakukute. Kua uyaone.Duu? Nini kimekupata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kaoe single mother yakukute. Kua uyaone.Duu? Nini kimekupata?
PointUkiwa na uhusiano na mwanamke mwenye mtoto, hasa wa kiume, siku zote yule mtoto anakuona kama mvamizi kwenye maisha yake na mama yake. Na akikua kidogo akajua unamnyandua mama yake, ujue atakuchukia kishenzi, wivu kabisa ule wivu wa kiume.
Atakuvumilia tu kwa kuwa unampa mama yake pesa, lakini hakupendi. Chochote utakachompa anakihesabu kama hongo kwa kuwa unamkula mama yake, usitegemee shukurani yoyote kwa sababu umeshaipata kwa mama yake na ujue hapendi unavyomkula.
Usitarajie kuwa ukija kumuoa huyo mama eti na huyo mtoto atakupenda, hilo nakuhakikishia halitatokea hata umfanyie nini. Na atakapopata mawasiliano na baba mzazi, basi hao watatu (mtoto, mama yake na baba yake) watakugeuza chumo, bwege mtozeni. Utalea mtoto wa mwenzio, akifikia kujimudu mwenyewe ataondoka kwako kama vile hakujui!
Ataanzisha makazi yake mapya na kuendeleza ule wimbo wa "nani kama mama", wewe utatelekezwa. Hata yule baba yake uliyekuwa unadanganywa kuwa hamjali mtoto utakuja kushangaa kujua kuwa kumbe alikuwa anamjali! Watakuwa wanakutana na mkeo kwenye shughuli za huyo mtoto wao! Ataitwa kuja kutoa jina la mjukuu, wewe utawekwa kando. Unahitaji kuwa na ngozi ngumu sana kuvumilia mambo kama haya uzeeni.
HakikaWewe bado hujaelewa somo.
Single mother hawana shida, shida ni wanaume mbumbumbu wanaotegemea Embe kwenye Mnazi.
Mtoto wa single mother sio wako na hatakuja kuwa wako Kivyovyote vile hata uwekeze vipi.
Jambo hili utaanza kuliona ukishaanza kuishiwa nguvu Kwa uzee.
Kwamba baba akikutafuna mwanaye wa kike ana mind?!Nadhani hii inaapply pia kwa singo babaz wenye watoto wa kike
Lkn baba mzazi yupo?Nimelelewa na Baba wa kambo , namheshimu kuliko binadamu yeyote chini ya jua , akikoa tu navunja kibubu
Mama anaweza hitaj pesa nikamwambia subiri au sina likn sio mzee
Hatufanani
Mtoto wa kiume ni janga kwa wazazi waleziDada yangu ni single mother aliolewa lakini mtoto alichukuliwa na akalelewa.na wajomba zake. Pale nyumbani anakuja kusalimia tu. Na ndoa yake imetatibiwa na wajomba mwanzo mwisho.
Sana, ndio maana labda kwetu wanakataza kuoa mwanamke mwenye mtoto wa kiumeMtoto wa kiume ni janga kwa wazazi walezi
Mtoto mpumbavu huvunja ndoa ya wazazi wake na mtoto muelevu huwaweka wazazi karibu zaidi
Diamond ni ushahidi tosha wa madhila yanayowafika baba wa kambo. Mara tu alipofanikiwa, Diamond akajifungamanisha na mama yake, baba akatengwa, Diamond na mama yake wakaungana na watoto wa upande wa baba mzazi, ikawa hivyo.Diamond mwenyewe si ana baba wa kambo
Kuowa single mother sio vibaya ila kila single mother ana inferiority complex na kudili na mtu mwenye inferiority ni kazi saana asikwambie mtuSana, ndio maana labda kwetu wanakataza kuoa mwanamke mwenye mtoto wa kiume
Nimeona familia nyingi mama wa kambo huwa anapata wakati mgumu kutengeneza uhusiano mzuri na watoto wa kike kuliko wa kiume. Na bahati mbaya ukute wamekua kua kidogo humo ndani mtakuwa kama wake wenzaKwamba baba akikutafuna mwanaye wa kike ana mind?!
Kwenda huko...wivu tuWalioowa single maza wangu wote nawaonea huruma
Vijana wa siku hizi kweli hawana heshima kabisa,eti mwanamke mwenye mtoto ukimuoa unaambiwa umeoa MOJA BILA.Ukiwa na uhusiano na mwanamke mwenye mtoto, hasa wa kiume, siku zote yule mtoto anakuona kama mvamizi kwenye maisha yake na mama yake. Na akikua kidogo akajua unamnyandua mama yake, ujue atakuchukia kishenzi, wivu kabisa ule
Una utani na Harmonize?Bora mwenye mtoto wa kike, baadae utapata advantage ya kula na huyo mtoto [emoji16]
🤣🤣🤣Wewe kaoe single mother yakukute. Kua uyaone.