cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
UhuniTunafanana kwenye nini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UhuniTunafanana kwenye nini ?
Sio wote wenye wake Kuna exceptionsHuyo aliyekuzidi umri atakuwa ni kibabu mume wa mwanamke mwenzio
Yes, ingawa wao hawajapeana Talaka. Labda huko uzeeni watarudiana. Maana Miili ikikosa nguvu no way itabidi warudiane tu walee wajukuu.Christina shusho kumbe ameachika? Duuh
Sijui huko ndani, ila kwa kanisani mme alikuwa anaonekana ni Mme bora, na Tina alikuwa anaonekana kabisa anadharau mmewe. Sasa sijui wakiwa wawili ilikuwa inakuwaje. Pia kumbuka mme aliacha uaskofu pale Tabata akamfuata mkewe ndo wakaenda kuvurugana tena.Licha ya mapungufu ya shusho ila hata huyo mume ana shida mno
Nilishangaa kumuona Mchungaji Mgogo ndio ameenda kulifungua Hilo kanisa.hata Martha Baraka alishaachana na mumewe Baraka, na kwa sasa hatumui tena jina la Martha baraka, anajiita Madame Martha, na ameolewa na mchungaji na wana kanisa
Kweli kabisa Hawa wachungaji wanafanya mambo ya aibu kuliko wahumini wao.Unajua waliwahi tengana miaka 5 wanaishi nyumba moja ila vyumba tofauti.Mimi nilikuwa ninasali nao Tabata na Shusho mme ndo alikuwa mchungaji kiongozi pale.Walivyorudiana hadi kanisani ilitangazwa,ila walirudiana wakaishi/kulala chumba kimoja kama miaka 3 tu nadhani,ndo wamekuja tengana tena safari hii Tina Shusho kahama kabisa nyumba. Ndo hii almost miaka 3 wanaishi nyumba tofauti,kila mmoja ana kanisa lake.Kumbuka Mchungaji Shusho mwanaume alihama Tabata kanisani ili kumfuata Tina mkewe kwenye kanisa lake Tina pale Manzese. Ndo huko wamekwenda kutofautiana Mme akaondoka kuanzisha kanisa lake tena. Yaani maisha yao hawa unaweza andika script, movie ikauza sana.Jamani Tumjue Yesu kiroho na si kuwafuata hawa binadamu maana wengine hata dhambi wanatuzidi.
Na sijui kwanini watoto wa nje hufanana na baba zao. Hatari sana![emoji28][emoji28]hafu kamzalia mtoto wa kike copy and paste Hadi komwe la apostle
Inawezekana wako sawa, au shaboka anamzidi kidogo Rose. Sisi Wanawake tunawahi kuzeekaDuuh...ila yule kaka huwa nahisi ana umri mdogo kuliko huyo rose
[emoji28][emoji28][emoji28]ndio hivo ili msiwakane kuwa sio wenu. Hafu na watoto wakike Huwa tunafanana na baba zetu Sasa hapo ukibisha Kwa mkeo na ushahidi huko mubashara huchomokiNa sijui kwanini watoto wa nje hufanana na baba zao. Hatari sana!
Tatizo watu ni wanafiki, wanaujua ukweli lakini wanaukataa. Shusho pale kanisani kwake manzese ni full maigizo, akihubiri unaona anaigiza tu.Ila tukubaliane bado nchi ina wapumbavu wengi sana. Hao waumini wa kanisa la Shusho akili zao zipimwe
Mimi siyo ndoto yanguSi Mkristo wala Muislamu North America ni ndoto ya kila mtu
Hapo ndipo.alipokosea kabisa.Sijui huko ndani,ila kwa kanisani mme alikuwa anaonekana ni Mme bora,na Tina alikuwa anaonekana kabisa anadharau mmewe. Sasa sijui wakiwa wawili ilikuwa inakuwaje. Pia kumbuka mme aliacha uaskofu pale Tabata akamfuata mkewe ndo wakaenda kuvurugana tena.
Nampongeza sisi wengine ndo Wajinga unakaa mtu mmoja Hadi mnafanana sura Ilitakiwa Kila baada ya miaka 5unabadiliahaHabari,
Msanii Angel Bernard ameolewa kwa mara ya pili.
Mara ya kwanza aliolewa na Producer wa Nyimbo za Injili Godsave Sakafu.
Kulikoni wanamuziki wa nyimbo za injili wa kike?
Huyu hapa;
Nadhani Christina umaarufu na kufuatwa na wanaume wenye fedha kulimpa kiburi na kumwona mumewe si kitu.Sijui huko ndani,ila kwa kanisani mme alikuwa anaonekana ni Mme bora,na Tina alikuwa anaonekana kabisa anadharau mmewe. Sasa sijui wakiwa wawili ilikuwa inakuwaje. Pia kumbuka mme aliacha uaskofu pale Tabata akamfuata mkewe ndo wakaenda kuvurugana tena.
Acha uongoHakuna watu rahisi kuliwa kama hawa wapendwa....... We zama makanisani mwao jifanye unajitoa kwa shughuli za kanisa, utawalamba ushindwe wewe
Unamfahamu Rosa Shaboka?Shaboka yule mchungaji mme wa Rose. ?
Utajua hujuiAcha uongo
Acha umbea tafuta hela. Masikini kwa kujifanya kuwajua matajiri hawajambo[emoji38]Huyu angel si alizaaga na nick shaboka then akaolewa na huyo producer Kuna kipindi nilimwona yuko USA loh
Alivyotoka kwa kanisa la Tina, mme alikwenda anzisha kanisa lingine kabisa jipya. Tabata asingerudi, maana Tabata alikuwa kaajiriwa.Tabata alikuwa anahudumu kwenye Kanisa lililo chini ya makanisa MMPT (Pentecoste)Nadhani Christina umaarufu na kufuatwa na wanaume wenye fedha kulimpa kiburi na kumwona mumewe si kitu.
Sasa huyo mumewe kasharudi kanisani kwake au?
Ni kweli Christina alikuwaga mkimbizi kutoka Burundi
Huwa ninaona tu clip zake fupi zile mtu anakufowadia WhatsApp. Ila huwa sifuatilii kabisa mahubiri yake.Unamfahamu Rosa Shaboka?
Hapana mmy. Hiyo haiwaondolei hadhi ya kuwa watumishi, unafikiri Mungu aliyewaita hakuona haya?Huyu Nick wakati anazaa na Angel, tayari alikuwa na mkewe Rose? Duh kama alikuwa tayari kaoa hawa the so called watumishi ni uzushi mtupu.