Anna Elisha Mghwira anarudi ACT? CCM atakaa kama mwanachama wa kawaida? Vitawezekana kweli?

Anna Elisha Mghwira anarudi ACT? CCM atakaa kama mwanachama wa kawaida? Vitawezekana kweli?

Au kustaafu kunakosemwa kuna maana nyingine ? maana haiwezekani wote wafanane umri huku mmoja anastaafu mwingine anaajiriwa .

Kama yupo aliyeelewa jambo hili anieleweshe .

Angalizo : Hatuna ugomvi wowote na wawili hawa na wala hatupingi mamlaka ya uteuzi , bali tunaomba kueleweshwa tu
Hata hili la Mkuu wa Mkoa Morogoro, Ole Sanare, halieleweki. Eti muda wake umepita!?! Hadithi za haflela ulela zimerudi? Ukuu wa Mkoa una miaka?!? Si alianza juzi tu akichukua nafasi ya Kebwe?!.
 
Au kustaafu kunakosemwa kuna maana nyingine ? maana haiwezekani wote wafanane umri huku mmoja anastaafu mwingine anaajiriwa .

Kama yupo aliyeelewa jambo hili anieleweshe .

Angalizo : Hatuna ugomvi wowote na wawili hawa na wala hatupingi mamlaka ya uteuzi , bali tunaomba kueleweshwa tu
Hayo ndiyo maajabu ya nchi yetu hii na hawa viongozi wa kisasa!

Kuendesha nchi inakuwa kama mchezo mchezo hivi, sasa tutaendelea lini?

Hivi vyeo ni vya kufurahishana?

Mama anajionyesha kuwa 'comedian' wa namna fulani, sasa sijui ni nani atamchukulia 'serious' kwa mambo kama haya!
 
Hata hili la Mkuu wa Mkoa Morogoro, Ole Sanare, halieleweki. Eti muda wake umepita!?! Hadithi za haflela ulela zimerudi? Ukuu wa Mkoa una miaka?!? Si alianza juzi tu akichukua nafasi ya Kebwe?!.
Nilichojifunza kwa uelewa wangu Ni kutumbuliwa hizi lugha za kustaafu, muda umeisha nk Ni kUpendezesha tu. KAZI IENDELEE
 
Kustaafu kwaweza kuombwa si lazima ustaafishwe. So huenda mama Mgwhira kaomba kupumzika

Hilo linawezekana kuwa kaomba kupumzika kwani kama mnakumbuka huyu mama alikumbwa na corona mwanzo mwanzo tu na akatoa ushuhuda kuwa aliponea dawa ya kienyeji ya wachaga!!! Waliopona corona wanapata side effects mbaya sana kimwili wakibahatika kupona!!!
 
Au kustaafu kunakosemwa kuna maana nyingine ? maana haiwezekani wote wafanane umri huku mmoja anastaafu mwingine anaajiriwa .

Kama yupo aliyeelewa jambo hili anieleweshe .

Angalizo : Hatuna ugomvi wowote na wawili hawa na wala hatupingi mamlaka ya uteuzi , bali tunaomba kueleweshwa tu
Na umri wa kustaafu urais ni miaka mingapi?
 
Haifahamiki , bali tulivyotangaziwa Anna kastaafu tukajua labda ni miaka 62 aliyonayo ndio mwisho wa wote , lakini tunaweza kuwa hatuko sahihi maana mkongwe mwingine wa umri huo huo kala shavu !
Hata yule aliyekuwa Dodoma anaonekana kuwa na umri mkubwa kuliko hao wawili, nadhani ifike mahali tumwogope Mungu.
 
Au kustaafu kunakosemwa kuna maana nyingine ? maana haiwezekani wote wafanane umri huku mmoja anastaafu mwingine anaajiriwa .

Kama yupo aliyeelewa jambo hili anieleweshe .

Angalizo : Hatuna ugomvi wowote na wawili hawa na wala hatupingi mamlaka ya uteuzi , bali tunaomba kueleweshwa tu
Hamna umri wa kustaafu kwenye uteuzi, ila waliopo wanaweza kuomba kwenye mamlaka kuwa ikipendezwa asiongezewe muda. Ni sawa na kazi za mikataba vile vile. Hata kwenye teuzi unaweza kusikia mtu akaongezewa mkataba, nafikiri imetokea kwa jaji Mwangesi.
 
Haifahamiki , bali tulivyotangaziwa Anna kastaafu tukajua labda ni miaka 62 aliyonayo ndio mwisho wa wote , lakini tunaweza kuwa hatuko sahihi maana mkongwe mwingine wa umri huo huo kala shavu !
Nakumbuka hata Mwamri alipoondolewa Tabora tuliambiwa kastaafu lakini cha kushangaza aliechukua nafasi yake umri ulikuwa ni ule ule.
 
Mwenye majibu ya maswali hayo anisaidie. Zito atamkubali? CCM anakaa akiwa amekatwa mkia vitawezekana kweli?

Wana visa na Mama maana kustaafu siyo kweli maana sidhani kama yeye ndiye ana umri mkubwa sana kuliko Makongoro... na wengine?

Huyu ni ile sehemu ya biashara ya watu.. Anaona kabisa hii abouturn hawezi kwenda nayo
 
Huyo mkongwe mwingine labda jina lake kubwa la mwisho limembeba. Kumbuka dhalimu alimuwekea ngumu kuukwaa Ubunge. Eti kashindwa jimboni wakati huo huo kuna wengi walioshindwa kwenye majimbo yao lakini dhalimu jiwe aliwabeba.
Haifahamiki , bali tulivyotangaziwa Anna kastaafu tukajua labda ni miaka 62 aliyonayo ndio mwisho wa wote , lakini tunaweza kuwa hatuko sahihi maana mkongwe mwingine wa umri huo huo kala shavu !
 
Atapewa uenyekiti wa Bodi na maisha yataendelea..atulie tu..Makala leo huyo.
 
Kustaafu uRC ni miaka mingapi?
U RC, DC na uwaziri ni vyeo vya kisiasa na sio utumishi wa umma kwa hiyo hawana muda wa kustaafu. Mkuu akikuona una umuhimu utaendelea tu, ndio maana baadhi wanakuwa mawaziri baada ya kustaafu kwenye utumishi wa umma. Mnamkumbuka Wassira? Ila mtu vile vile anaweza kumuomba Mkuu asimteue au akakataa uteuzi kwa sababu anataka kufanya shughuli nyingine kama kulea wajukuu, biashara, uanaharakati n.k.

Amandla...
 
Mwenye majibu ya maswali hayo anisaidie. Zito atamkubali? CCM anakaa akiwa amekatwa mkia vitawezekana kweli?

Wana visa na Mama maana kustaafu siyo kweli maana sidhani kama yeye ndiye ana umri mkubwa sana kuliko Makongoro... na wengine?

Huyu mama amesafu hizo nafasi za kiteuzi ukiona umefikia umri wako wa kustaff. Na unaona huna nguvu za kuendelea unaiomba mamlaka ya uteuzi ustafu kwa mujibu wa sheria, unahisi kakatwa mkia ingekuwa hivo si angepanguliwa tu hata bila kusema kastafu kwani shida inhekuwa nn? Wangapi wamepanguliwa
 
Back
Top Bottom