Anna Elisha Mghwira anarudi ACT? CCM atakaa kama mwanachama wa kawaida? Vitawezekana kweli?

Anna Elisha Mghwira anarudi ACT? CCM atakaa kama mwanachama wa kawaida? Vitawezekana kweli?

Miaka 62 nadhani ameomba kustaafu ili alee wajukuu, atabaki kuwa mwanachama wa kawaida maana haimpunguzii kitu. Makongoro Nyerere analingana na Mama Mghwira umri lakini jamaa ndo kalamba teuzi kwa mara ya Kwanza.
Hii ndio hekima, nafurahishwa kuona viongozi wenye kiasi na kikomo, ikitosha imetosha na vyema anastahafu na heshima zake. Sio yule mlevi wa konyagi miaka 20+ ataki kupasisha kijiti cha mwenyekiti kwa wengine, je angepata nchi? Acha aendelee kusaka tonge awaburuze wenye ubongo mzito.
 
Sasa labda ili nisionekane mbaya basi labda nisiwe nahoji haya masuala yenu yanayohusu teuzi za viongozi japo wanateuliwa kwenye nafasi za umma .
Umeenda mbali sana ndugu yangu, mimi nia yangu ilikuwa njema kabisa. Una wajibu na haki kikatiba kuuliza kuhusu jambo lolote lenye maslahi mapana ya taifa. Ushauri wangu kwako ulikuwa ni huu: You are smart above an average Tanzanian Millennial, you have influence and power in your hands. Bear in mind that your statements can bring about negative connotations and mayhem in case you are not vigilant.......
 
Kwa Tanzania hii yenye wapenda madaraka, sidhani kama mama Mghwira ameomba kustaafu. Itakuwa ametemwa kwa bifu la wanawake.

Kama kuomba kustaafu, angeomba enzi za Jiwe ambapo ilikuwa ni heka heka, lakini siyo sasa.
 
Hivi ni vyeo vya kisiasa vya kuteuliwa. Havina hayo mambo ya ukomo wala hakuna sheria. Huenda Mama Mgwira kaomba kupumzika/kustaafu.

Ndio maana Dr Slaa bado yupo huko ubalozini anadunda (alizaliwa 1948), Asha-rose Migiro pia (alizaliwa 1956).
Babu Slaa ni 1942
 
Hivi ni vyeo vya kisiasa vya kuteuliwa. Havina hayo mambo ya ukomo wala hakuna sheria. Huenda Mama Mgwira kaomba kupumzika/kustaafu.

Ndio maana Dr Slaa bado yupo huko ubalozini anadunda (alizaliwa 1948), Asha-rose Migiro pia (alizaliwa 1956).
Mama amefanyakazi kwa hekima na weledi mkubwa, ni hazina kwa taifa, mfano wa kuigwa, nilibahatika kufanyakazi kwake katika mkoa ule, ni shupavu na hodari katika kazi, amewakilisha wakina mama vyema katika uongozi. kustaafu ni hatua njema katika utumishi, makofi kwake
 
Mwenye majibu ya maswali hayo anisaidie. Zitto atamkubali? CCM anakaa akiwa amekatwa mkia vitawezekana kweli?

Wana visa na Mama maana kustaafu siyo kweli maana sidhani kama yeye ndiye ana umri mkubwa sana kuliko Makongoro... na wengine?

Ann ana 60+ sidhani kama makongoro kafika 60. Anaweza kuwa anaikaribia. Fujo tu yule.
 
Huyo mkongwe mwingine labda jina lake kubwa la mwisho limembeba. Kumbuka dhalimu alimuwekea ngumu kuukwaa Ubunge. Eti kashindwa jimboni wakati huo huo kuna wengi walioshindwa kwenye majimbo yao lakini dhalimu jiwe aliwabeba.

Mwendazake alikuwa nae anambeba sana huyo kutokana na jina la baba yake, asingeweza kumbeba kwenye ubunge kwasababu alikuwa anashindana na mndogo wake kwenye huo ubunge sasa kumpendelea mmoja kungewagonganisha wana ndugu lakini alimteua kuingia kwenye Central Committee ya ccm ambacho ni chombo kikubwa sana.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mama anaendelea KUDEMKA bado Wakuu wa Wilaya. Halafu usisahau KE wanachukiana Baraza la Mawaziri aliwaminya na Wakuu wa Mikoa pia kawaminya.
Hivi hili la KE kuchukiana lina ukweli?
 
Hamna umri wa kustaafu kwenye uteuzi, ila waliopo wanaweza kuomba kwenye mamlaka kuwa ikipendezwa asiongezewe muda. Ni sawa na kazi za mikataba vile vile. Hata kwenye teuzi unaweza kusikia mtu akaongezewa mkataba, nafikiri imetokea kwa jaji Mwangesi.
Upo sahihi, mfano Said Meck Sadick aliacha ukuu wa mkoa akiwa ana miaka 72.
 
Mwenye majibu ya maswali hayo anisaidie. Zitto atamkubali? CCM anakaa akiwa amekatwa mkia vitawezekana kweli?

Wana visa na Mama maana kustaafu siyo kweli maana sidhani kama yeye ndiye ana umri mkubwa sana kuliko Makongoro... na wengine?


Waliotolewa ni pro-magufuli only. Case closed.
 
Sioni tatizo hata akibaki CCM maana hakumtendea mtu yeyote ubaya wakati akiwa ACT na hata alipopata bahati ya kuteuliwa kuwa RC wa Kilimanjaro

Kwa nn kafukuzwa kama hakua na ubaya?
Yanafikirisha sana!
 
Kwa nn kafukuzwa kama hakua na ubaya?
Yanafikirisha sana!
Hajafukuzwa, tafuta press release ya Ikulu uisome vizuri sababu ya yeye kutoteuliwa tena. Mlimlishe SSH maneno ya uongo
 
Ila wabongo kwa kuchonga MIDOMO, KUROPOKA, kujifanya WATABIRI , Wajuvi hatuna MPINZANI.
 
Back
Top Bottom