Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Yaan point yako ninini. Kwamba sio kweli alichosema au kwasababu na yeye ni wale wale. Maana hapa ishu ni mkataba wa bandari.
Sasa naona umeanza kuelewa mkuu...
Alichokiongea hakina uhalisia wowote, kaongea kwa sababu kajisikia tu kutoa maoni lakini hata yeye angekuwa ni waziri mwenye dhamana au kwenye nafasi ya kuamua kama wenzake walivyoamua, uamuzi wake usingekuwa tofauti na kina Mbarawa...
Kwa sasa huo mkataba hauwezi badilishwa, rekebishwa au fanyiwa mageuzi ya aina yeyote...
Kwa sasa atulie tu aendeleze miradi yake ya mashamba ya miti ambayo usikute chanzo chake ni mihela ile ya kwenye sandarusi...