Msitutishe na propaganda zenu potofu; sisi tunasonga mbele na maisha yetu. last year WHO walikiri kuwa takwimu zinazotolewa na nchi nyingi hasa developing world kuwa si sahihi. watuache na nyungu zetuKipindi ni The Stream.
Kinaongozwa na Femi Oke.
Wageni ni Ansbert Ngurumo, akiwa yupo Stockholm, Sweden na Dkt. F. Minja, kutokea Atlanta, GA, USA.
Mazungumzo ni kuhusu madai ya Rais Magufuli kuhusu COVID-19.
Mimi nimeuliza swali! Sijatoa kauli.Wewe ni BONGOLALA mkubwa,so akiwa mkimbizi anakuwa amepoteza haki ya kuongea?
Kukosoa??
Kujenga hoja???
Na no nani aliyesababisha yeye kukimbia nchi?????🤨🤨🤨
kweli UJINGA NI MZIGO😃😃🤣🤣🤣
Kwa mujibu wa nini/ nani?Dunia nzima huu ndio utaratibu unaofuatwa, hospitali na vituo vya afya ndio mahali pakwanza kujuwa kuna nini mtaani.
Dr Minja Habari!! Nimewasikiliza mazungumzo yenu vizuri Sana. Mnatakiwa muelewe kuwa wizara ya afya na Rais wetu wamejitahidi sana kupambana na Covid. Tanzania ni nchi masikini. Haiwezi kufunga shughuli zake.Tutakufa njaa na tutafiriska.Aidha tusimsingizie Rais na serikali kuwa wanawapotosha watu. Hii issue kwa jinsi dunia inavyokwenda inafika mahali inabaki issue ya mtu binafsi. Wamekufa watu wakubwa. Je, na wao walishindwa kuchukua hatua? Hapana ni issue zao binafsi kushindwa kujikinga.Tusilaumiane.Wanaokufa marekani ni wengi kuliko wanaokufa Tanzania. Why Tanzania?
brazaj ni agent wa Billgate Yuko kazini!!
Mimi siyo Dkt. Minja.Dr Minja Habari!! Nimewasikiliza mazungumzo yenu vizuri Sana. Mnatakiwa muelewe kuwa wizara ya afya na Rais wetu wamejitahidi sana kupambana na Covid. Tanzania ni nchi masikini. Haiwezi kufunga shughuli zake.Tutakufa njaa na tutafiriska.Aidha tusimsingizie Rais na serikali kuwa wanawapotosha watu. Hii issue kwa jinsi dunia inavyokwenda inafika mahali inabaki issue ya mtu binafsi. Wamekufa watu wakubwa. Je, na wao walishindwa kuchukua hatua? Hapana ni issue zao binafsi kushindwa kujikinga.Tusilaumiane.Wanaokufa marekani ni wengi kuliko wanaokufa Tanzania. Why Tanzania?
Imefikia mahali sasa inabidi watu waanze kumpuuza tu sasa.Umemsikia Magufuli anapiga hesabu za barakoa ngapi zinahitajika kwa siku? Kasema siku moja ina masaa 48.
Kasema barakoa inatakiwa kuvaliwa kwa masaa manne, siku moja ina masaa 48, kwa siku mtu anahitaji barakoa 12.
Amesema hivyo mara kadhaa, na kutumia multiplication kabisa, si mara moja useme slip of the tongue tu.
Kuna video inasambaa mitandaoni inaonesha hili.
Ikulu mpaka sasa haijatoa masahihisho.
How did we let such a clumsy country bumpkin run the country?
Mama yako ana upumbavu sana hasa akiwa chumbani[emoji867][emoji867][emoji867]
We bado Mdogo hujui yanayoendelea Duniani!!Billgate ana masuala gani?
🖕🖕🖕Mama yako ana upumbavu sana hasa akiwa chumbani
@tz mbogo . Maghufuli ni Rais wa nchi na anawajibika kwa wananchi kwa shida zao zote. Hawezi kujitenga nazo . Labda kama hujui majukumu ya cheo hicho.Kwahiyo ndio atumie corona kuonesha chuki zake kwa Magufuli ? Nasema hivyo kwa sababu huyo msikaji tatizo lake sio corona bali ni Magufuli na ndio maana mwaka jana kipindi cha kampeni aliacha hizi habari za corona na kujikita na kampeni akitaka Magufuli atoke madarakani maana ndio mbaya wake,ila hilo liliposhindikana ndio karudi tena kwenye corona kuonesha chuki zake kwa Magufuli.
Hakuna mpumbavu kama mama yako
Wote wawili mmeshindwa uvumilivu . Kukosea, kukosolewa ni maisha ya mwanadamu[emoji867][emoji867][emoji867]
What was the logic behind your question???😶😶😶Mimi nimeuliza swali! Sijatoa kauli.
Sasa kwa nini unanishambulia kana kwamba nimesema kuwa hana haki ya kuongea, kukosoa, na kujenga hoja?
Au hukuelewa nilichokiandika?
Mjinga na bongolala ni wewe uliyeshindwa kuelewa ulichokisoma!!!
Unafanya makosa kudhani raia wote wana upeo, information, seriousness katika hii pandemic kama yako!. Watu wa aina hii inabidi wasukumwe wachukue measures fulanifulani kwa ajili ya usalama wa wengine, ni sawa na kwenye kipindupindu, nguvu huwa inatumika sometimes kulazimisha usafi wa watu ili kuwanusuru wengi waliobaki.Yawezekana hulipendi sana kwa sababu unalikosea!
Mimi siikwepeshi lawama serikali pamoja na Rais Magufuli. Wanabeba lawama karibu zote.
Lakini pia, mimi kama raia huru mwenye akili timamu, sihitaji Rais Magufuli aniambie eti nivae barakoa au sijui ninawe mikono na maji tiririka au kuepuka misongamano.
Hivi uzalendo ni upi?Mkuu Nyani, wewe ndo huyo Minja? Safi sana. Hongera kwa kuwa mzalendo wa nchi yako.
Huyu Mwanamke ndio ameanza kisebusebu cha kuniita mpumbavu wakati mama yake mwenyewe ni mpumbavu mimi huwa namvumilia tu.Wote wawili mmeshindwa uvumilivu . Kukosea, kukosolewa ni maisha ya mwanadamu
What’s the logic behind this [your] question????What was the logic behind your question???😶😶😶
Mbona hata walio na upeo nao hawako serious...Unafanya makosa kudhani raia wote wana upeo, information, seriousness katika hii pandemic kama yako!. Watu wa aina hii inabidi wasukumwe wachukue measures fulanifulani kwa ajili ya usalama wa wengine, ni sawa na kwenye kipindupindu, nguvu huwa inatumika sometimes kulazimisha usafi wa watu ili kuwanusuru wengi waliobaki.
Kwa hiyo ishu ya barakoa ikiwa enforced kilazima kwenye public basi watakaozivaa watanusuru maisha ya wengi, yao na ya wengine wanaowazunguuka, maana chafya moja ya wenye covid inaweza kuambukiza wengi.
So unapofikiria kuvaa barakoa, usifikirie kujilibda wewe tu usiipate, bali fikiria kuwa unazuia covid kusambaa kutoka kwako kwenda kwa wengine!
Usipoenforce measures fulanifulani kwa nguvu ili Wider public izifuate, basi hao wazee waliofungiwa ndani na kutumia masanitizer kia wakati wataletewa ugonjwa na wajukuu wao wa chekechea waliokwenda shule na kurudi nyumbani. Ukiwa ndani mwako nadhani unaelewa jinsi ilivyo ngumu kujusocial distance na family members maana nyumba zetu unazijua vizuri zilivyo
Hapo kuna mambo mawiliMbona hata walio na upeo nao hawako serious...