Anthony Diallo aomba radhi kwa waliomuelewa vibaya kauli yake ya 'Viongozi waliopita walikuwa na Matatizo ya Akili'

Nawe kwa akili yako mbovu unaamini ameomba radhi. Ukweli ni aliousema mwanzo. Na wote tuliokuwepo 2015-20 tunakubaliana naye. Ilikuwa tunaongozwa na kichaa. Tuliona na wala Diallo hakusema lolote jipya kwa vile.
 
Tatizo lenu hamtaki kuambiwa ukweli...
 
Ahaa Dialo tumekusikia kwa masikio yetu Leo umeamua kikana kivuli chako.hadi watoto wamekusikia huo mda mbona wengi wao walikuwa hawajalala.leo baada ya kusakwama umeamua kupindua meza eti hujaongea ivo eti watu wametafasili vingine.simamia msimamo wako we sema ulichokiongea ndicho hicho hich .
 
Tatizo lenu hamtaki kuambiwa ukweli
 
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Mwanza, Dk. Anthony Diallo ameomba radhi ‘kiaina’ baada ya kauli yake kuzua mjadala ndani na nje ya chama chake...

Ni hivi, aombe msamaha au la, ujumbe sahihi umefika kuwa dhalimu alikuwa na tatizo la akili, na alikuwa ni mlevi wa madaraka. Ukweli una tabia moja tu, hata ukitaka kuukanusha huwa haukanushiki.

Amesema ukweli ambao wanaccm na watanzania wote wanaujua, japo ukweli huu unalindwa na ccm kwa nguvu zote usisemwe hadharani.
 
Ni
Ni hadi uwe na akili Ili kumuelewa
 
Unasumbuliwa na utoto.
Sasa mwenyekiti wa CCM wa mkoa, kakiri kwamba ccm ilituletea mtu mwenye ulemavu wa akili awe Rais wa nchi, UTOTO ubatoka wapi?

Hii ni uvunjaji wa katiba. Mojawapo ya masharti ya kugombea urais, ni uwe na AKILI TIMAMU. Ni wazi Magufuli hakuwa na AKILI TIMAMU. Sio ajabu aliweza kufanya ukatili wa kiwango kile. Kazi iendelee? Hapana, Tunahitaji kurekebisha rekodi zetu. Kwamba tuliwahi kufikia hatua mtu mgonjwa wa akili akawa Rais wetu
 
Ukweli ambao umewekwa wazi ni kuwa Diallo alidhania kufanya kampeni kupitia Star tv mwaka 2015 ndio loophole ya kutolipa kodi. Sasa alichobakiza ni hasira baada ya kulipishwa kodi.

Hata wewe unahilo tatizo. Ulidhani kushiriki uchaguzi ndio kushinda. Sasa una machungu ya kupoteza pesa, bora ungejilipa na kilimo.
 
Oooh masikini, too late ujumbe wa kwanza ndio umepokelewa pakubwa mno 🤣🤣🤣
 
Cdm mmebaki kuwa wacheza Ngoma za ccm tu kwa sasa, hakuna operation haki, maandamano Wala wabunge wa covid 19, kila sehemu mnaangukia pua.
Mchukueni sasa huyo Dialo wenu
Mbona povu mkuu 🤣🤣🤣
 
Reactions: mmh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…