Apart from yourself, who else is your favorite character on JamiiForums and why?

Apart from yourself, who else is your favorite character on JamiiForums and why?

Ila jamani hizi nyuzi za kusifia member flani kuna watu wata- commit suicide

Heri msifiane huko PM kwa manufaa ya wengi

Btn thank you for the compliment ,I appreciate you too
Wenzako kila jukwaa wamo, mara chitchat, MMU, urembo, kula pisi kali kimasihara, utani, siasa, intelligence, biashara, vyakula, mapenzi, tamthilia za Kikorea, usiku wa manane, vita, mikasa ya kimaisha, picha za warembo wakali duniani, international forum na kukutana kwenye media zingine nnje ya JF kama Telegram, WhatsApp, Twitter, ilihali sisi wengine huwa tuko kwenye majukwaa hayazidi hata matano tu kama michezo ya football, dini, hoja mchanganyiko n.k.

Huoni wigo wa Marafiki walionao ni mwingi sana kuliko wewe?

Jikubali mwana wane kabla hawajakukubali na hata kama hawatakukubali, just be flexible circumstantially.
 
Evelyn Salt pacha wangu unajua vile nakupenda.

Nobunaga unajua vile nakukubali, you are special.

To yeye
Mshana Jr

mzabzab unanipaga raha na uchizi wako

Mzee wa kupambania Mzee wa mizagamuano, noma sana.

The Monk Rafiki wa ulweli.

Asprin Babu darling.

mbalizi1 Fundi wangu mkuu kabisa.

Msanii
Extrovert
The Icebreaker
Kiranga
ETUGRUL BEY
Kapeace

Lee

Shunie Mke mwenza nakupenda..

GENTAMYCIME

Heaven Sent una busara sana mdogo wangu.

xtaper


Glenn ulinikataa mchana kweupeeee, salute kwako mtumishi wa Mungu.

Amani iwe kwenu ndugu zangu.
Glenn "ulinikataa mchana kweupeeee, salute kwako mtumishi wa Mungu.

Amani iwe kwenu ndugu zangu."

Ohooo!....[emoji2960][emoji4]
 
Namkubali sana baba J DeepPond nikiingia humu lazima nikaangalie telemundo mpya aliyoweka.
Kuna bibie cocastic yeye kila coment ni anacheka mpaka anatoka machozi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna Saint Anne zile keki zinaniinspire
Bro Intelligent businessman kuna siku nitakuuliza huwa unalala saa ngapi maana mkesha upo 24/7[emoji16][emoji16]
Kuna baba mtoto wangu wa HIARI Chizi Maarifa sema upunguze kunipondea kwenye nyuzi humo
 
Back
Top Bottom