Apart from yourself, who else is your favorite character on JamiiForums and why?

Apart from yourself, who else is your favorite character on JamiiForums and why?

Ila jamani hizi nyuzi za kusifia member flani kuna watu wata- commit suicide

Heri msifiane huko PM kwa manufaa ya wengi

Btn thank you for the compliment ,I appreciate you too
Dah we lofa umenifanya nicheke, kisha nishindwe kuchagua Kati ya emoji ya 😍au 🤣😂 stay blessed Palina
 
Mtu wangu wa nguvu Antonnia , Bantu Lady Warembooo haswaaa na hawana roho ya lucifer, mdogo Lovelovie Tinsley hawana bayaaa.. wazee wangu wa nguvu Extrovert mrangi mzabzab hana noma na mtu huyuu.. alafu smart smart co founder wa mgahawa wa coffee Dr Lizzy bila kusahau mkuu wa intel Intelligent businessman na bwanaaa Poor Brain .. bila kusahahu mwanadamu kiumbe cha Mungu Aksha
Dogo chama Cha wezi wa kimataifa kitadumu milele na milele kikiongozwa na Mimi intelli, mwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania, na mwizi anaye chipukia National Anthem.
👉 Sera zetu👉 Panga mkononi
👉 Roho begani
 
Evelyn Salt pacha wangu unajua vile nakupenda.

Nobunaga unajua vile nakukubali, you are special.

To yeye
Mshana Jr
makaveli10

mzabzab unanipaga raha na uchizi wako

Mzee wa kupambania Mzee wa mizagamuano, noma sana.

The Monk Rafiki wa ulweli.

Asprin Babu darling.

mbalizi1 Fundi wangu mkuu kabisa.

Msanii
Extrovert
The Icebreaker
Kiranga
ETUGRUL BEY
Kapeace

Lee

Shunie Mke mwenza nakupenda..

GENTAMYCIME

Heaven Sent una busara sana mdogo wangu.

xtaper


Glenn ulinikataa mchana kweupeeee, salute kwako mtumishi wa Mungu.

Amani iwe kwenu ndugu zangu.
 
Wachangamsha jukwaa wote nawakubali, sana, asanteni kwa muda wenu kwenye mada nisipoona comment ya mmojawenu najua hiyo mada haina jipya, hizi njemba zikitia mguu kwenye mjadala utaenda na unaweza kutembea hadi page 100 kwa siku moja Depal , To yeye , Dejane Evelyn Salt Demi Antonnia Ms cee Nakadori mzabzab Mzee wa kupambania DeepPond Amehlo Bantu Lady Kalpana National Anthem Glenn ERoni wachache sana niliowasahau,

santo sana mamy nawe pia u miongoni mwa wachangamsha nyuzi nyingi sana humuuu ukiwepo huo uzi lazima utembee speed yani kwa uzi mambo yanakua ni bulbul!!!!
Una madini ameiizzinngggg sana dear Ubarikiwe sanaa!!😘!!
 
santo sana mamy nawe pia u miongoni mwa wachangamsha nyuzi nyingi sana humuuu ukiwepo huo uzi lazima utembee speed yani kwa uzi mambo yanakua ni bulbul!!!!
Una madini ameiizzinngggg sana dear Ubarikiwe sanaa!!😘!!
Kuna pipo zikikaa kwenye uzi utaenda tu hata km uzi hauna madini, wengine wanatuchukulia poa lakini nakuhakikishia bila wachangamshaji huu mtandao ungekuwa umepwaya
 
Eh bana mi nna watu nahisi jf member wote maarufu wa MMU, nikianza na ma manzie Nakadori huyu mtoto ana elements organic sana ananikosha sana jinsi anavyobehave jukwaani@Amehlo huyu ni mjanja mjanja ila naamini hana baya Saint Anne haka kabinti ka kiefeso kalikuwa Ukwata enzi za chuo ila kakajanjarushwa sana na mji ila nakakubali kwenye kulinda rasilimali zake nyeti kanaepa sana mishale Madame B huyu mtoto ameiva kimaadili huwa sichoki kuona positive response zake humu jukwaani anaonekana bonge la wife material financial services huyu ni mtoto mzuri sana na bingwa wa chats za puppy love ila mzito wa maamuzi ingawa hana baya aishi sana. @Rebecca33 huyu ni kinara katika wale mabingwa wa mikazo na misuguano katika mada za men against women 🤣🤣🤣 huyu akikuamulia mnajaza server na ugomvi hauishi. Kapeace hili jina tu linasadifu malkia mmoja mkali sana mithili ya mtalaka wa Dokta wa mitishamba, sema kama kawaida ya watoto wazuri maneno kidogo mapenzi mengi sana kopa nyingi sana zimfikie huyu mchumba. Demi hii mbegu sijui ni ya kimeru huwa inanifurahisha maana response yake ni kama computer tu WYSIWUG 😀😀😀 ukiingia kifala unapata majibu ya kifala. Ukiingia kitimamu nakupa positive vibes ishi sana mtoto mzuri. luckyline huyu mtu bana yuko so self centered always huwa anafurahia ulimwengu wake tu na kwa wale team fisi huwa anatuacha na kaujumbe kuwa yuko wayoff our league na huwaW2 hataki mtu cheap ajipendekeze maana she can afford herself anataka ma Don tu 🤣🤣🤣 sema hana baya huwa naheshimu misimamo yake tu. Lenie huyu mtoto inaonesha wa kishizo sana sema mtu wa kulay low ishi sana mtoto mzuri ukitambua wahuni tupo japo unamaindisha ma tall handsome and black 😀 Hannah huyu mtoto anakata mapindi ila mjanja mjanja sana sema siku zote ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu, kwa haraka haraka mi humuonaga sniper sema plans za ku intercept kifaa chake zipo 😀😀😀,,, you on my menu list ishi sana usife hadi special 🐱 hacking operation itimie! Antonnia huyu dogo yupo neutral hana baya in most cases anakuwaga mzuka mwingi ishi sana. Mi amor huyu member sijui ndio kashasilimu naye maana watoto wa humu kwa kujisilimisha daily ID wanaziswap sema hanaga baya wengine niliowasahau msijiskie hovyo sababu wote nawapa kopa tu. Hamnaga kambaya

Wabheja mr ban ubarikiwe sanaaa!! Una vitu vyako vyaukwee sana humu hadi wanataka kukutoa roho na bann zaoo!!
Nawe huna baya namtu kabesaa humuu uko peace nakila mtu be blessed alot mkuu!!
 
Back
Top Bottom