App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi
Mkuu naomba kujua km nishafika page ya 11 kati ya 20 na nataka kutoka kwenye thread natakiwa nifanye nn,maana kabla ya maboresho ulikua ukirudisha back kwenye simu inakutoa kwenye hyo thread ila ss hv ukirudisha back inakurudish kwenye page ya kabla kitu ambacho kinakera ina maana ukitaka kutoka ni lazima urud back mara 11 ili urud ulipokuwa.Naomba kufahamishwa inawezekana mm ndio sijui
 
Naomba upande wa fonts iwe kama app ya zamani, itumie system fonts. Fonts style inayotumika kwenye simu iwe ndio hiyo hiyo itumike kwenye app. Au lah sivyo wekeni option ya mtu kuchagua kati ya system fonts au fonts za kwenye app. Maxence Melo
 
Kwenye ku back imekuwa ni changamoto, nilikuwa post namba 21 nikasoma post kwa kurudi nyuma mpaka post namba 18 nafungua attachment. Baada ya kucheck attachment niki back inanipeleka post namba 21 baada ya kurudi katika comment ambayo ina attachment Maxence Melo
 
Naam wakuu,

Kwa mara nyingine tumeona tuboreshe huduma ya JF ili izidi kuwa rahisi kutumia.

Kwa sasa unaweza ku-Install JF App kwa PC au Tablet (iPad zikiwemo) na Simu za Mkononi (Android na iPhones).

FAIDA:

1) Ni rahisi kutumia na haina tofauti yoyote na main site, hakutakuwa na malalamiko tena kuwa kuna kukosa notifications au kushindwa kufanya actions kadhaa

2) Ni rahisi kufunguka kuliko unavyodhania. Installation yake inachukua sekunde moja au pungufu. Haichukui space kwenye simu yako au kifaa chako

3) Ukiwa offline, bado kuna content utakuwa na access nayo kwa urahisi zaidi. Hulazimiki kuwa mtandaoni

4) na mengine mengi

Hatua za kufuata:

Kwa wanaotumia PC:

Tembelea JF kwa kutumia Google Chrome Browser, kisha utaona sehemu kama hii kwenye browser yako:

View attachment 1791283

View attachment 1791292

Kisha bonyeza Install kama inavyoonekana hapa chini:

View attachment 1791284

Utaona tayari unayo App kwenye PC yako. Kuanzia hapo hutokuwa ukilazimika kutembelea tovuti kwa njia ya browsing ya kawaida.

Mfano, mwenye Macbkook ataona icon ya App ya JF ikiwa hivi:

View attachment 1791290

Kwa wanaotumia Android Devices:

Tumia Google Chrome (au native browser ya simu yako):

Bonyeza mistari mitatu iliyo kushoto mwa LOGO ya JamiiForums, utaona kitu kama hiki chini:

View attachment 1791285

View attachment 1791286

Bonyeza INSTALL kisha utaona hivi (itachukua sekunde 1 ku-Install)

View attachment 1791287

Kwa wanaotumia iPhone au iOS devices:

Tumia Safari Browser, bonyeza sehemu hizi zilizozungushiwa na fuata maelekezo kwenye simu... Just add to your device's home screen.

View attachment 1791288
View attachment 1791289

Ukikwama usisite kuuliza, tupo kwa ajili yako.

TAKE NOTE: Siku zijazo (sio karibuni) tutaondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores. Kuna mabadiliko zaidi yanakuja kwenye mwonekano na user experience katika kutumia huduma ya JF.

PS: Kuna watu wanataka kujua kuhusu kupata notifications. Tafadhali enable push notifications kwenye settings na utazipata bila shaka.

Karibuni
Ok okay Bro a. K. a Le great Melo[emoji106]
 
Naomba upande wa fonts iwe kama app ya zamani, itumie system fonts. Fonts style inayotumika kwenye simu iwe ndio hiyo hiyo itumike kwenye app. Au lah sivyo wekeni option ya mtu kuchagua kati ya system fonts au fonts za kwenye app. Maxence Melo
sure
 
Viongozi mnasubiri nini kuiweka app mpya ya Jamii Forum huko playstore?

Jana nimeifuta app ya zamani, nika-restart kasimu kangu, nikadowload upya app yenu lakini imekuja ile ile ya zamani ambayo hainipi notifications na habari mpya mpya.

Nimejaribu kuwa naingia kwa njia ya browser kwa kutumis simu ili nipate notifications na nyuzi mpya mpya lakini naona ni usumbufu tu.

Hatutegemei taasis kubwa kama Jamii Forum watu wake wawe waanze ubabaishaji!

Kama mmebadilisha app, basi iondoeni ya zamani huko playstore, na muweke mpya tudownload.

Na ukitumia hii app ya zamani unakuta habari zipo nyuma tofauti na kwenye brower, ingawa jukwaa moja ni moja, yaani kama vile mechi ya mpira ikitangazwa kwenye redio na kwenye TV, kwenye redio goli linatangulia kutangazwa.

Juzi nikaelekezwa kudownload app mpya kwa njia zao lakini sikufanikiwa, ndiyo maana nasema, Jamii Forum ni taasis kubwa, wekeni app mpya playstore

Ina maana Taasis za Tanzania nyingi hazimjali mteja?
 
Viongozi mnasubiri nini kuiweka app mpya ya Jamii Forum huko playstore?

Jana nimeifuta app ya zamani, nika-restart kasimu kangu, nikadowload upya app yenu lakini imekuja ile ile ya zamani ambayo hainipi notifications na habari mpya mpya.

Nimejaribu kuwa naingia kwa njia ya browser kwa kutumis simu ili nipate notifications na nyuzi mpya mpya lakini naona ni usumbufu tu.

Hatutegemei taasis kubwa kama Jamii Forum watu wake wawe waanze ubabaishaji!

Kama mmebadilisha app, basi iondoeni ya zamani huko playstore, na muweke mpya tudownload.

Na ukitumia hii app ya zamani unakuta habari zipo nyuma tofauti na kwenye brower, ingawa jukwaa moja ni moja, yaani kama vile mechi ya mpira ikitangazwa kwenye redio na kwenye TV, kwenye redio goli linatangulia kutangazwa.

Juzi nikaelekezwa kudownload app mpya kwa njia zao lakini sikufanikiwa, ndiyo maana nasema, Jamii Forum ni taasis kubwa, wekeni app mpya playstore

Ina maana Taasis za Tanzania nyingi hazimjali mteja?
Sisi wengine hatupendi kutumia browser mtusaidie hili jambo Maxence Melo
 
Hili suala tulileta malalamiko, na Mello alisema atarekebisha ila bado tyuuh hatuoni utekelezaji. labda huenda wako ktk maboresho na itakua sawa, tunasubiri
 
Boss MELLO anajisahau Sana akija pata mpinzani wa ukwel nadhan hapo ataamka katika usingiz wa pono Kama sio porno

Unaridhika na pongez za mwigulu nchemba unasahau kwako
 
Daah aisee nilijua mimi tu kumbe ni janga la wengi
 
Natumia Android mbona baada ya kubonyeza mistari mitatu, orodha inayokuja hakuna 'Install App' mkuu?
 
Viongozi mnasubiri nini kuiweka app mpya ya Jamii Forum huko playstore?

Jana nimeifuta app ya zamani, nika-restart kasimu kangu, nikadowload upya app yenu lakini imekuja ile ile ya zamani ambayo hainipi notifications na habari mpya mpya.

Nimejaribu kuwa naingia kwa njia ya browser kwa kutumis simu ili nipate notifications na nyuzi mpya mpya lakini naona ni usumbufu tu.

Hatutegemei taasis kubwa kama Jamii Forum watu wake wawe waanze ubabaishaji!

Kama mmebadilisha app, basi iondoeni ya zamani huko playstore, na muweke mpya tudownload.

Na ukitumia hii app ya zamani unakuta habari zipo nyuma tofauti na kwenye brower, ingawa jukwaa moja ni moja, yaani kama vile mechi ya mpira ikitangazwa kwenye redio na kwenye TV, kwenye redio goli linatangulia kutangazwa.

Juzi nikaelekezwa kudownload app mpya kwa njia zao lakini sikufanikiwa, ndiyo maana nasema, Jamii Forum ni taasis kubwa, wekeni app mpya playstore

Ina maana Taasis za Tanzania nyingi hazimjali mteja?
max aliishasema kwa sasa nguvu inaelekezwa kwenye browsee zaidi,kisha akamalizia kwa kusema baadae tutajua ni kwanini amefanya hivyo.

nadhani ndio maana notiffication haziingii tena.
 
Binafsi app naona ndo ilikuwa bora na rahisi pia hii yasasa miyeyusho tu sema shoda kweny app haziji notifications
 
Font ni kubwa sana aisee, wengine macho yetu bado mazima, muweke option ya kuchagua font size.
 
Back
Top Bottom