Apple kuzindua iPhone 16 series leo Tar 9 September 2024

Apple kuzindua iPhone 16 series leo Tar 9 September 2024

Niliwakuta wakaka wa Makumbusho kwa Dada mmoja China anaitwa Lily jamani hata hizo Iphone 15 bora ukanunue maduka yanayoeleweka, simu used ila wanachukua zile first grade wanafunga vizuuri wakija huku wanasema mpya za kwenye box!! Kuna mmoja nikamuambia unajisikiaje kuwaibia watu qkanijibu dada acha uchawi😂😂
Ni kweli, hizi simu pamoja na Samsung wanazipaki kwenye maboksi na kuziwekea sticker na seal unaambiwa ni mpya kumbe ni used Grade one. Ni ngumu kuweza kubaini kwamba sio mpya ila uzuri kwa simu za Apple ukiingiza ile warranty itakwambia imeaha expire.
 
iPhone 16 na 16 Plus zishatangazwa!
Screenshot-2024-09-09-at-1.42.09PM.jpg

Kila kitu kama mwaka jana kwenye 15 na 15 Plus kwa muonekano, kasoro tu nyuma camera zimekaa vertically sio kupishana kama kwenye 13 14 na 15!

Pia, Action button (hii ilimreplace mute switch) ambayo ilikua kwenye Pro peke yake sahivi ipo pia kwenye 16 plain na Plus.

Pia kuna button mpya kwaajili ya kuactivate camera.

Simu iko na new chip A18 ambayo Tim anatuambia ni 30% fast kuliko ya mwaka jana, na power efficiency aimeongezeka kwa 35%.

Pia bigger battery, ila hawasemi mAh!

Camera kuna improvement (on paper)

Macro ✔️
48 MP + 12 MP 2x Telephoto ✔️
55mm 1.6 aperture ✔️
 
Airpods 4 zimetangazwa

Zinakuja za aina mbili, standard Airpods 4 na Airpods 4 Active Noise Cancellation!
gsmarena_001 (1).jpg

Mbali na mbwembwe zingine, case yake pia ina spika sahivi na unaweza kuchaji kwa type C au wirelessly.
gsmarena_002.jpg

Bei yake kama kawaida..
gsmarena_004.jpg
 
iPhone 16 na 16 Plus zishatangazwa!
View attachment 3091847
Kila kitu kama mwaka jana kwenye 15 na 15 Plus kwa muonekano, kasoro tu nyuma camera zimekaa vertically sio kupishana kama kwenye 13 14 na 15!

Pia, Action button (hii ilimreplace mute switch) ambayo ilikua kwenye Pro peke yake sahivi ipo pia kwenye 16 plain na Plus.

Pia kuna button mpya kwaajili ya kuactivate camera.

Simu iko na new chip A18 ambayo Tim anatuambia ni 30% fast kuliko ya mwaka jana, na power efficiency aimeongezeka kwa 35%.

Pia bigger battery, ila hawasemi mAh!

Camera kuna improvement (on paper)

Macro ✔️
48 MP + 12 MP 2x Telephoto ✔️
55mm 1.6 aperture ✔️
Kumbe watu wanaenda kununua jina na namba iliyo pewa hiyo simu na si vinginevyo. Wakisikia 16 plus watu wanachanganyikiwa kabisa 😁😁😁
Akina BICHWA KOMWE - ni kubomolewa maji taka tu ilimradi wamiliki 16 plus
 
Kwenye maisha, tuna uhakika wa vitu vitatu. Kifo, Kodi ana iPhone mpya kila September!

Wakali wa hizi mambo, leo uko Marekani watafanya uzinduzi mkubwa wa simu 4 za iPhone 16.

View attachment 3091819
Simu zinazotegemea kuzinduliwa ni We iPhone 16, iPhone 16 Plus, iPhone 16 Pro, and iPhone 16 Pro Max, zote zikiwa na iOS 18 ambayo itakua na AI (Apple Intelligence), ambayo kuna tetesi ikawa sio bure (20$/month)!
View attachment 3091816
Pia watazindua Apple Smartwatch series 10 aka series X!
View attachment 3091817
Uzinduzi umeanza saa 2 usiku kwa saa za Tanzania, nadhani kesho saa 4 tutazikuta Makumbusho!

Unaweza kucheki Keynote YouTube hapa:

View: https://www.youtube.com/live/uarNiSl_uh4?si=a-QsuK5SsXIB-f2G
Ila kama kawaida comments zimefungiwa!

1725906386181.png
nido niko naistream now naona wanazungumzia macamera tu muda wote
 
Kwenye maisha, tuna uhakika wa vitu vitatu. Kifo, Kodi ana iPhone mpya kila September!

Wakali wa hizi mambo, leo uko Marekani watafanya uzinduzi mkubwa wa simu 4 za iPhone 16.

View attachment 3091819
Simu zinazotegemea kuzinduliwa ni We iPhone 16, iPhone 16 Plus, iPhone 16 Pro, and iPhone 16 Pro Max, zote zikiwa na iOS 18 ambayo itakua na AI (Apple Intelligence), ambayo kuna tetesi ikawa sio bure (20$/month)!
View attachment 3091816
Pia watazindua Apple Smartwatch series 10 aka series X!
View attachment 3091817
Uzinduzi umeanza saa 2 usiku kwa saa za Tanzania, nadhani kesho saa 4 tutazikuta Makumbusho!

Unaweza kucheki Keynote YouTube hapa:

View: https://www.youtube.com/live/uarNiSl_uh4?si=a-QsuK5SsXIB-f2G
Ila kama kawaida comments zimefungiwa!

Hifone 14 yangu sasa itakuwaje
 
Back
Top Bottom