Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 huku tangu jana mchanaTanzania kama JEHANAM View attachment 2950471View attachment 2950472
Sema leo tarehe 1 april wasijekuwa wanatake advantage baadae wakihojiwa waseme walikuwa wanatania maana ni siku ya ujinga.Tanzania kama JEHANAM View attachment 2950471View attachment 2950472
Kama Yale ya NdumbaruSema leo tarehe 1 april wasijekuwa wanatake advantage baadae wakihojiwa waseme walikuwa wanatania maana ni siku ya ujinga.
😂 huku tangu jana mchanaTanzania kama JEHANAM View attachment 2950471View attachment 2950472
Huku Kilingeni tangu jana mchanaWengine tumelala Giza tokea usiku mpaka Sasa hakuna umeme, ,
Na wewe ukamwamini? Sijawahi KAMWE kumwamini mwana CCM yoyote yule.Eneo nililopo Mbagala umeme ulikatika usiku wa manane kabla ya saa nane usiku mpaka hivi sasa saa mbili naa asubuhi umeme haujarudi. Ni hivi karibuni mheshimiwa alisema mtambo mmoja mpya umewashwa huo ndio mwisho wa kukatika kwa umeme, umeme ndio huo umekatika.
Hivi hawa viongozi wa CCM kwanini wanakuwa na haraka ya kutatua matatizo kwa mdomo!
😂 huku tangu jana mchanaTanzania kama JEHANAM View attachment 2950471View attachment 2950472
Huku Kilingeni tangu jana mchanaWengine tumelala Giza tokea usiku mpaka Sasa hakuna umeme, ,
Hali tangu jana ni hii.. Vp nyie huko kwenyu
Combinations ya idara ya maji na TANESCO sikia tu kwa jiraniUmekatika saa nane usiku mpaka sasa mbili asubuhi bado kimya.
Update: Naskia huko nje wanasema na maji yamekatika.