Aprili 1, 2024: Gridi ya Taifa yapata Hitilafu, TANESCO waomba radhi
😂 huku tangu jana mchana
Wengine tumelala Giza tokea usiku mpaka Sasa hakuna umeme, ,
Huku Kilingeni tangu
Sema leo tarehe 1 april wasijekuwa wanatake advantage baadae wakihojiwa waseme walikuwa wanatania maana ni siku ya ujinga.
😂😂😂😂
Mama wa, kizimkazi yupo bize kuteua na kutengua, upande mmoja anaongea kuhusu Malidhiano ya kisiasa, upande wa, pili, wale majambazi walioumiza wapinzani, wanapewa, nyadhifa seeikalini! Crazy!!!!
Wanasiasa, huwa, na, agenda ya, Siri, their political agenda, precede public opinions,
Kule kwa, Biden, serikali inasema Israel imeua watu wengi, Sana na sasa, ni wokati wa, kusitisha Vita Gaza, lakini Biden Ana uchaguzi, November, asipoisupport Israel, inaweza ikamkosesha kuchaguliwa, katuma shehena nyingine ya siraha Kali, zipo, na bunker blasters!!!! Ni kama mchezo wa kuigiza vile, huku unasema huyu Israel kaua watu Sana Gaza, asitishe Vita, upande wa pili, unampa siraha nzito nyingi! Akafanyie nini sasa, mapambo!!
USA hayupo tayari kuona Hamas inarudi Gaza, ushindi wa Israel ni muhimu ili kuidhibiti Iran,
Na huku kwetu, richa ya kuwa Makonda ni jambazi, Ila samia anamuhitaji politcaly,kwanza ni kutoka jamii ya wasukuma, kwa kanda ya, ziwa,ni potential voting block, lazima ailinde, iwe upande wake, Doti biteko, na Makonda ni strategy.
 

Attachments

  • FB_IMG_1711961150860.jpg
    FB_IMG_1711961150860.jpg
    25.6 KB · Views: 4
Kwanza nianze na kuwapongeza nyote.Mawazo ni mazuri lakini tujitahidi tu tuhakikishe huduma inapatikana, na sio vifungo kwaajili ya matusi.
Maana naona sasa wameanza na wanaowatukana na Sio changamoto zao
 
Back
Top Bottom