Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Vikundi gani vya uasi nchi hii? Embu fanya kautafiti kadogo zunguka kwenye mtaa wako chunguza shughuli zinazoendelea.Haya mambo yana mwisho. Na mwisho ni mbaya
Vikundi vya waasi hua vinaanzaje?
Saa hizi watu weshanunua maziwa mgando maji ya ugali yapo jikoni bi mkubwa anafanya mambo huku mzee anabishana kina pacome watakachofanya ijumaa na M10 kwa kila goli wewe unazungumzia vikundi vya uasi?