Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 Utajuta Kuzaliwa BongoUmekatika saa nane usiku mpaka sasa mbili asubuhi bado kimya.
Update: Naskia huko nje wanasema na maji yamekatika.
Siasa nyingi hadi kwenye mambo yasiyohitaji siasaHawa jamaa huwa wanaota mchana
Hivi General Tyres Bado Ipo?TANESCO hizo hitilafu kwenye Grid ya TAIFA zinatakiwa zitafutiwe muarobaini....kwani naona kama zinajirudia rudia walau ndani ya miezi miwili. Tusizoee kuishi na matatizo...
Hata hivyo sijui kama kuna Shirika la Serikali lenye kuleta faida limefanikiwa kujiendesha kwa faida ya kueleweka?
ATC, TTCL, BRT, General tyres, nk nk nk... naona kama yote yana boronga tu....
Sio kweliHizo hitilafu huko Ulaya hazitokei?
Wenzetu miaka 20, 40 hakuna kukatika umeme
Siku ya wajinga duniani. Isije kuwa utaniTuliambiwa mgao wa umeme sasa basi!
Hali tangu jana ni hii, vipi nyie huko kwenu?
Kwa ninavyowafahamu Wamarekani na utata wao siku moja uwakatie umeme zaidi ya mara 10 lazima wakuburuze mahakamaniSio kweli
Hapa Washington DC siku haiishi bila umeme kukatika zaidi ya mara 10.
Kama si mgao basi nakuomba tembelea Mbagala Rangitatu siku yoyote uipendayo wakati wa asubuhi, kisha uje uniambie kama ni hitilafu kwani juzi, jana asubuhi umeme haukuwepo, na kesho hautakuwepo.hakuna mgao,
ni hitilafu ya kawaida katika grid ya Taifa, na tatizo linahughulikiwa kwa nguvu zote na muda usio kua mrefu hali itarejea itarejea na kua kama kawaida 🐒
kua mustahimilivu kua na subra 🐒
Usikanushe usichokijua, tembelea Mbagala Rangitatu ujionee mwenyewe.kila wiki wapi tena ndugu mwananchi? 🐒
usipotosha umma bana, sio vizuri 🐒
unayo ratiba ya mgao apo tujiridhishe 🐒Kama si mgao basi nakuomba tembelea Mbagala Rangitatu siku yoyote uipendayo wakati wa asubuhi, kisha uje uniambie kama ni hitilafu kwani juzi, jana asubuhi umeme haukuwepo, na kesho hautakuwepo.