run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 3,185
- 3,909
Inaitwa 'Both to score"Combinations ya idara ya maji na TANESCO sikia tu kwa jirani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwa 'Both to score"Combinations ya idara ya maji na TANESCO sikia tu kwa jirani
Mawazo chanya ndio haya mkuu?Hii ni hitilafu iliyojitokeza kwenye miundombinu ya umeme sio mgao wa umeme! Ingekua ni mgao wasingekata usiku wa manane. Tuwe na mawazo chanya sio mawazo hasi siku zote!
wanaojitambua ndio wanajua umuhimu wa ustahimilivu 🐒Tatizo ni siku watakayojitambua!
hitilafu zimekuwa n za mara kwa marakila wiki wapi tena ndugu mwananchi? 🐒
usipotosha umma bana, sio vizuri 🐒
Tabora, shinyanga tangu jana ni kiza tupuSisi Mbeya hamna umeme Toka usiku wa jana
[emoji23][emoji23][emoji23] aiseeInaitwa 'Both to score"
Asante sana, inaonesha umeme unachelewa kufika ZNZ kwa dk 8 nzima!
Tanesco...."Tunayaangamiza maisha yako."Tanesco...."Tunaangaza maisha yako"
🤣🤣🤣Wenyewe wanasema sio mgao,ni katazo sijui katizo la umeme[emoji23], mwisho kabisa nimshukuru mama kuniwezesha kukomenti hapa siku hii ya leo.
Naaaaaam naaam Sheikh wangu, hawa ni serial liars halisiKitaalamu wakiitwa: "serial liars."
Hawa jamaa huwa wanaota mchana😂 wengine waliwahi kusema wataanza kuuza huu umeme wetu ambao hata haututoshi.
zinashughulikiwa kwa kasi ya ajabu, tuwe wastahimilivu online 🐒hitilafu zimekuwa n za mara kwa mara
huu sio mgao, ni hitilafu kama ambavyo umeripoti na kiambatanisho cha taarrifa ya Tanesco na wameomba radhi kwa umma 🐒Tuliambiwa mgao wa umeme sasa basi!
Hali tangu jana ni hii, vipi nyie huko kwenu?
Ukiona hitilafu kwenye mfumo wa usafirishaji wa umeme elewa kuwa ni uzembe wa mtu tu.Hii ni hitilafu iliyojitokeza kwenye miundombinu ya umeme sio mgao wa umeme! Ingekua ni mgao wasingekata usiku wa manane. Tuwe na mawazo chanya sio mawazo hasi siku zote!