Aprili 1, 2024: Gridi ya Taifa yapata Hitilafu, TANESCO waomba radhi
Eneo nililopo Mbagala umeme ulikatika usiku wa manane kabla ya saa nane usiku mpaka hivi sasa saa mbili naa asubuhi umeme haujarudi. Ni hivi karibuni mheshimiwa alisema mtambo mmoja mpya umewashwa huo ndio mwisho wa kukatika kwa umeme, umeme ndio huo umekatika.
Hivi hawa viongozi wa CCM kwanini wanakuwa na haraka ya kutatua matatizo kwa mdomo!
Hata huku bunju umekatika toka usku hadi sasa hivi
 
Eneo nililopo Mbagala umeme ulikatika usiku wa manane kabla ya saa nane usiku mpaka hivi sasa saa mbili naa asubuhi umeme haujarudi. Ni hivi karibuni mheshimiwa alisema mtambo mmoja mpya umewashwa huo ndio mwisho wa kukatika kwa umeme, umeme ndio huo umekatika.
Hivi hawa viongozi wa CCM kwanini wanakuwa na haraka ya kutatua matatizo kwa mdomo!
hakuna mgao,
ni hitilafu ya kawaida katika grid ya Taifa, na tatizo linahughulikiwa kwa nguvu zote na muda usio kua mrefu hali itarejea itarejea na kua kama kawaida 🐒

kua mustahimilivu kua na subra 🐒
 

Attachments

  • IMG-20240401-WA0005.jpg
    IMG-20240401-WA0005.jpg
    68.8 KB · Views: 3
hakuna mgao,
ni hitilafu ya kawaida katika grid ya Taifa, na tatizo linahughulikiwa kwa nguvu zote na muda usio kua mrefu hali itarejea itarejea na kua kama kawaida 🐒

kua mustahimilivu kua na subra 🐒
hitilafu gan hii ya kila wiki ..kipindi cha jiwe hitilafu za mara kwa mara zilikuwa znamwogopa au
 
hakuna mgao,
ni hitilafu ya kawaida katika grid ya Taifa, na tatizo linahughulikiwa kwa nguvu zote na muda usio kua mrefu hali itarejea itarejea na kua kama kawaida 🐒

kua mustahimilivu kua na subra 🐒
Somo la ustahimilivu naamini likishindanishwa duniani, Watanzania tutaongoza kwa A+ tena ya 99.99
 
Hii ndo shida ya kuzidisha siasa kwenye vitu vya msingi,na matokeo yake yanajulikana ni mambo kwenda mkombo kupitiliza
 
Watanzania washakuwa wasomi wajanja, taja hiyo hitilafu ili tuone kweli mko serious na mna nia ya kutatua tatizo!

Tangu mmeanza matengenezo ya mitambo na mifumo miaka mitatu iliyopita, bado tu mnapata hitilafu?

Nataka kujua, line ya kwenda Magogoni na line inayoenda Kizimkazi, na zenyewe zimezimwa kwaajili ya hitilafu?
...
 

Attachments

  • 38ce94f369284804a9509ccfa3fb09e2.jpg
    38ce94f369284804a9509ccfa3fb09e2.jpg
    63.1 KB · Views: 3
Mama wa, kizimkazi yupo bize kuteua na kutengua, upande mmoja anaongea kuhusu Malidhiano ya kisiasa, upande wa, pili, wale majambazi walioumiza wapinzani, wanapewa, nyadhifa seeikalini! Crazy!!!!
Wanasiasa, huwa, na, agenda ya, Siri, their political agenda, precede public opinions,
Kule kwa, Biden, serikali inasema Israel imeua watu wengi, Sana na sasa, ni wokati wa, kusitisha Vita Gaza, lakini Biden Ana uchaguzi, November, asipoisupport Israel, inaweza ikamkosesha kuchaguliwa, katuma shehena nyingine ya siraha Kali, zipo, na bunker blasters!!!! Ni kama mchezo wa kuigiza vile, huku unasema huyu Israel kaua watu Sana Gaza, asitishe Vita, upande wa pili, unampa siraha nzito nyingi! Akafanyie nini sasa, mapambo!!
USA hayupo tayari kuona Hamas inarudi Gaza, ushindi wa Israel ni muhimu ili kuidhibiti Iran,
Na huku kwetu, richa ya kuwa Makonda ni jambazi, Ila samia anamuhitaji politcaly,kwanza ni kutoka jamii ya wasukuma, kwa kanda ya, ziwa,ni potential voting block, lazima ailinde, iwe upande wake, Doti biteko, na Makonda ni strategy.
 
Somo la ustahimilivu naamini likishindanishwa duniani, Watanzania tutaongoza kwa A+ tena ya 99.99
hata hivyo ni vizuri zaidi hata kupata zaidi ya hiyo 🐒

ustahimilivu ni jambo muhimu sana popote inasaidia kuepusha uharibifu mwingi 🐒
 
Mbona huku tunaona ni kawaida yetu waseme au wasiseme.
 
Back
Top Bottom