Aprili 1, 2024: Gridi ya Taifa yapata Hitilafu, TANESCO waomba radhi
😂 hii nchi ina mambo ya ajabu ajabu sana, unaitisha press unawatania watanzania.
Hahahahahaaha Acha tu Ndugu yangu. Hii ni route ya Meli yetu huko ziwa victoria
IMG-20240330-WA0015.jpg
 
😂 huku tangu jana mchana

Huku Kilingeni tangu jana mchana
Sasa mkuu kilingeni umeme wa nini?! Si uwashe mishumaa tu! 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
 
Hii location nilipo mimi, umeme kukata ni nadra sana. Kwa mwenzi unaweza kata Mara mbili tu tena kwa masaa machache sana,
 
Watanzania washakuwa wasomi wajanja, taja hiyo hitilafu ili tuone kweli mko serious na mna nia ya kutatua tatizo!

Tangu mmeanza matengenezo ya mitambo na mifumo miaka mitatu iliyopita, bado tu mnapata hitilafu?

Nataka kujua, line ya kwenda Magogoni na line inayoenda Kizimkazi, na zenyewe zimezimwa kwaajili ya hitilafu?
 
Yaani hii nchi tunaishi basi tu yani🥺🥺
 
Back
Top Bottom