Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hapana bado

Nimesikia taarifa hapa kutoka BBC ikitangaza kuwa kesho Qatar Airways haitakuwa na route yeyote kutokana na sintofahamu ya ule mpira wanahofia unaweza ukagonga ndege yakatokea ya PRECISON Air

Pia wameshauri watu wa eneo hilo watembee wakiwa na helment mbaka pale watapotangaziwa kuwa hakuna tishio tena
Jamaa ni booonge la fala😂
Alipewa Mpira apige golini,,sijui ndio yale mavigimbi maskini yalimpa jeuri

Hivi kuna kipande Cha mpira kimedondoka juu ya paa letu hapa Nanjilinji.
Nimeamshwa na Kishindo Cha bati.


Jamaa ni booonge la fundi kwa kupaisha🔥
 
Baby wako Trent mmeachana?
Nilidaclare interest wakati wa mzunguko wa kwanza kabisa kuwa timu yangu ni Ufaransa,,ukiachana na mechi ndogo ndogo ambazo nitachagua tu upande wa kuegemea,,wote hao wanatusindikiza mabingwa watetezi na wateule.

Hako katoto pale tu Anfield hakawezi kukaba,halafu eti mnategemea kawaletee kombe ,Tena mbele ya wazee wa kazi.

Beba limagwaya lenu peleka Old Trafford lialia FC.
Kasi kulia tu uwanjani yabebwe.
 
Mbele ya Ufaransa hakuna mbeleko ya mchongo itasurvive🔥🔥🔥🔥

Ni kupeleka moto mwanzo mwisho
 
Sa si bora ukaishabikia Croatia kuliko Argentina?

Baada ya Argentina umejipanga kushanikia timu gani tena?

Usiseme France, huku tumejaa hatutaki mtu maana mkishaona timu nzuri hamkawii kuzitolea macho
Hii miajentina ishazoea kupita Chocho na penalt za mchongo

Chocho zao ndio ziliishia pale Kwa Waholanzi.


Huku tushajaa,Sijui watakuwa wageni wa nani.
 
Niliamshwa na Kishindo Cha Mpira wa Kane kwenye paa.
Mizee ya mpaishoooo
Mizee ya penalt mchongoma.


Ufaransa mabingwa watetezi na wateule tuendelee kulala.

Wenye safari ya kurudi Uingereza ndo wanapaswa waamke mapema wawahi viwanja.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Wale haters wa Morocco mmesha hamia France au bado mnajishauri?

Niliwaambia kua Spain atakula kichapo mkabisha,akapiwa mkahamia Portugal,napo mkapaza sauti kua Morocco atatolewa na Portugal,haikutokea,Porugal nae kala kichapo kitakatifu.
 
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Aiseeeee we mama kumbe ni ngariba wa mikuyenge?????
Aliomba mwenyewe hapa jukwaani kuwa baada ya anguko la wazee wa kulialia,lion watatu;
Aliomba tumtahiri kabla hajaenda kupande ndege ya Uingereza.

Sisi ni waungwana, hatuna budi kumsaidia ndugu yetu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Utakufa kwa chuki kijana. Kombe la Messi hili bila wasiwasi wowote. Tena england ndio nilikuwa nawahofia maana kuna historia fulani.

Baada ya england kufurushwa basi ni raha mustarehe.
Hiyo historia 2018 ilikuwa wapi kipindi anafungwa 16 bora na ufaransa!?
 
Mpira sheri yake ni kwamba mshindi anatakiwa apatikane ndani ya dakika 90

Mnapoenda beyond maana yake mnalazimisha bingwa apatikane kwa njia zisizo za halali
Ufaransa tunaharibu,tunachoma na kuteketeza njia zote za chenga na Chocho[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
MORROCO vs Spain no one believed they will advance to the next stage

Morocco vs Portugal also no one believed they will advance

Now vs France I bet they will make through to the final
It's compulsory to believe that but MORROCO can lift the world cup because they have best statistics than any other team in the world cup campaign so far
Unapotaja Ufaransa,usilinganishe na vitu vya ajabu

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Utabadilisha timu mpaka ukome ila hakuna timu ambayo ikipewa nafasi ichague mpinzani wakucheza naye ikachagua France

Hakuna!!!!

Sio Morroco sio Adventina, hakuna ambaye yuko tayari kukutana na France kwa hiari yao

Hii imewakuta tu wamwpangwa na hawana namna inabidi tu wacheze ila ingekuwa hiari yao hakuna ambaye angethubutu kuchalenjiana na mfaransa
Kama nawaona vile, England ingekuwa hiari yao,wangeamua kuchanja mbuga upande wa 2.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom