MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 187
Pamoja na majeruhi wengi bado vijana wanajitahidi kadri ya uwezo wao. 30 minutes zimekatika bado ni 0 kwa 0
Usiwe na hofu mkuu, ulidhani mvua itanyesha?
Naam nilidhani mvua itanyesha maana hii mechi ni muhimu sana kwa L'pool katika mbio za dhidi ya MANU. Na kwa kujua kwamba tuna majeruhi wengi basi wangeamua kutuletea mvua kubwa.
Naam nilidhani mvua itanyesha maana hii mechi ni muhimu sana kwa L'pool katika mbio za dhidi ya MANU. Na kwa kujua kwamba tuna majeruhi wengi basi wangeamua kutuletea mvua kubwa. Ha ha ha leo SAF, Wacheza na wapenzi wote wa MANU wanaishangilia timu yetu. SAF katoa BIG G yake huku akiifuatilia mechi kwa makini sana.
Arsenal hakuna beki
Mambo yametugeukia!! Liverpool2