Sasa kama mnavunjana miguu kwenye training si balaa hili....mna million 25 za Adebayor tafuteni mchezaji mkali wa nusu ya hiyo bei acheni ubahili.
Poleni sana ,msipoangalia hata top 4 hamgusi
Mbona kila mwaka majeruhi mmemkosea nini Mungu
...aisee hata mimi nashangaa hili chama langu imekuaje tena,... eti Diaby kamvunja mguu Nasri, mbaya zaidi wote ni Midfielders....suspicious minds watasema ndio kwenye kugombea namba nini..
Gaffer ka play down hiyo incident, anasema 'mchezaji' alikuwa anapiga mpira Nasri akaweka guu...within 6 weeks atakuwa fiti! INSHAALLAH 🙂
wenger alikosea mkuu na kashabadilisha kauli yake.eduardo yuko kwenye list ya jumatatu .Eduardo nje kwa miezi miwili...poleni jirani ndio maisha. Mwambieni Wenger anunue msimu wenu usijekwisha kabla haujaanza!
Ashley Cole has incensed Arsenal by saying he wants big spending Manchester City to knock his old club out of the top four.
Ashley Cole in action on Chelsea's pre-season tour of the US.
The Chelsea defender thinks City's huge spending spreee this summer means they can mount a serious challenge to make the Champions League next season.
Eduardo nje kwa miezi miwili...poleni jirani ndio maisha. Mwambieni Wenger anunue msimu wenu usijekwisha kabla haujaanza!
wewe hama timu kujitafutia ugonjwa moyo kisa nini? kama fabgregas anaondoka unategemea nini?...historia inataka kujirudia nini? AW ana siku 30 za kuimarisha team, hadithi za majeruhi sasa basiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 🙁
wewe hama timu kujitafutia ugonjwa moyo kisa nini? kama fabgregas anaondoka unategemea nini?
wewe hama timu kujitafutia ugonjwa moyo kisa nini? kama fabgregas anaondoka unategemea nini?