Hoja dhaifu, kwa hiyo Majeruhi wanayo Arsenal pekee? Maamuzi mabovu ya marefa huwa yanakwenda kwa Arsenal pekee?? Hamna siku maamuzi yaliwanufaisha?? Au yakiwanufaisha sio shida zenu.Enzo Maresca na Arne slot mazingira waliyoyakuta ni kwamba timu zilikuwa zimeshaundwa, Klopp aliiunda liverpool kabla ya kuondoka lkn pia liverpool walifanikiwa kuwabakisha wachezaji ambao ni all timer km Van dijk, Salah, Trent na beka, kwa upande wa The blues Boehly aliuunda chelsea kwa pesa nyingi, unaijua bei ya Mudyk, enzo fernandes au caicedo? hivyo ni sahihi kwa makocha hao kuonesha wanachokionesha regarding to their skillset.
kitu kingine liverpool imekuwa na bahati msimu huu, Man city ameregress sababu ya majeruhi na Arsenal pia tunakumbwa na majeruhi na maamuzi mabovu ya marefarii, so ni km liverpool hana mpinzani, in the middle of rebuild tumekuwa kwenye upinzani na the peak City/ Pep ambayo Bayern & Madrid wanapigwa km watoto, sio rahisi kushindana na Guardiola akiwa kwenye ubora wake, watu wa liverpool wanajua, ila kwa shabiki wa Newcastle huwezi kuelewa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mashabiki wa Arsenyo wanapenda kudeka utafikiri Vitinda mimba(watoto wa mwisho)Hoja dhaifu, kwa hiyo Majeruhi wanayo Arsenal pekee? Maamuzi mabovu ya marefa huwa yanakwenda kwa Arsenal pekee?? Hamna siku maamuzi yaliwanufaisha?? Au yakiwanufaisha sio shida zenu.
Kila timu inapitia vyote hivyo, jana tu Tot vs Newcastle mchezaji kaunawa mpira ikasababisha pasi ya goli lakini goli likawa halali. Lakini hata hawatoi milio kama nyie mazwa zwa.
Unapozungumzia injury kwenye timu, kuna vitu viwili vya kuzingatiaKuwa Serious mkuu, Kweli mna majeraha kuzidi timu nyingine!!??
L'Pool akianza ligi CF wake alikuwa Jota akapata Majeraha, TAA, Diaz, Konate, Allison hawa wote wamekuwa wakipishana kwenye Infirmary,
CITY wamekuwa wakiwakosa kwa awamu KDB, Rodri, Stones, Ederson, Kovacic, Dias na wana msimu mbovu zaidi wa PEP tangu aanze fundisha lakini mpaka sasa mnawaacha Pointi 6 tu,
Arsenal "Big miss" ni Saka + White hawa kina Calafiori ni sajili mpya kwa back 4 ya Arsenal ilikuwa imeshatimia, Gabi nae kwa muda pia. Kwa nini nyie tu ndo muongelee majeraha kama timu zingine hazipati?? .
Unazungumzia maamuzi ya Waamuzi kama hakuna namna yanawabebaga!
Kwa nini hutaki zungumzia "PERFORMANCE" Ya timu kuwa ya Hovyo!? Kwa nini hutaki zungumzia "EGO" ya mwalimu wenu kuwaweka wachezaji nafasi ambazo hawakupi "The Best" kulingana na uwezo wao?? Kuna namna hamtaki mnyooshea Mikel Arteta kidole lakini mtakuja shtuka mkiwa mmechelewa sana.
Kumbuka ana kiporo huyu. Katika kila gap kumbuka kiporoSare na Brighton iliniuzi sana. Kwa game ya liver na man u hapa tulikuwa tunapunguza gap
Yes, gap la point lingepungua.Kumbuka ana kiporo huyu. Katika kila gap kumbuka kiporo
Arteta akomae, apate hata hiki kikombe cha kuku.
Kocha mjinga.Sare na Brighton iliniuzi sana. Kwa game ya liver na man u hapa tulikuwa tunapunguza gap
Tulikuwa na tofauti ya points ngapi na anayeongoza?Kuna mtandao nipo kuna hoja wameianzisha ambayo inaonyesha kwa msimu wa 23/24 katika games 20 tulikua na points 40 sawasawa na kipindi hichi.
Isipokua kwa msimu wa 23/24 tulikua nafasi ya 4 na msimu huu kwa points zile zile tupo nafasi ya 2. Wanasema inawezekana fans tunaoverreact ila kila kitu kipo under control.
View attachment 3194022
Tulikuwa na tofauti ya points ngapi na anayeongoza?