fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 2,809
- 8,032
Yule mjinga hamis77 kawalisha ndimu kuhusu arsenal halafu kapotea. Kiukweli kama kuna msimu mlitutisha na mbio za ubingwa ni msimu wa 2022/23 na msimu wa 2023/24 ila sio msimu huu.
Yule mchele mliyesema muwaongezee westham pesa kidogo karudi kwenye default yake maana ule msimu aliluwa anatetea price tag yake.
Yule babu Partey mliyekuwa mnaonyesha dalili ya kumuuza anazima vizuri zaidi 6 kuliko Rice.
Hivi siku hizi hamna inverted fullback kama zamani au shida iko wapi?
Yule mchele mliyesema muwaongezee westham pesa kidogo karudi kwenye default yake maana ule msimu aliluwa anatetea price tag yake.
Yule babu Partey mliyekuwa mnaonyesha dalili ya kumuuza anazima vizuri zaidi 6 kuliko Rice.
Hivi siku hizi hamna inverted fullback kama zamani au shida iko wapi?