Hivi Mourinho siku hizi yupo timu gani?José Mourinho:
"Kwa mawazo yangu Mimi lakini, Arsenal FC haina sifa yoyote ya kuwa timu kubwa."
"Kila mara utasikia timu Ina nguvu (strong) lakini hamna Cha maana wanafanya kupata Mataji."
"Hakuna timu kubwa ambayo inacheza vizuri bila kupata Mataji."
Partey tunamsagia kunguni tena?Kwa namna tunavyocheza au kuna namna flani timu yetu inakuwa hatari tukiwa na profile kama Jorginho at #6, si mwingine bali ni zubimendi, Agenda za Partey is not a right profile at #6 zimepita, Arsenal na Arteta wanajua hilo, taarifa za zubimendi zina justify watu walichokiona kipindi cha nyuma kwamba Partey sio #6 tunayemuhitaji japo pia sio mchezaji mbaya, ni mazingira tu.
UturukiHivi Mourinho siku hizi yupo timu gani?
Kama ningekuwa kocha ningeweka approach ya low block kama Mourinho
Napenda sana, mbele naacha mchezaji mmoja tu wote wanabaki nyuma.
Mourinho hata dunia iumbwe tena asingeweza kuwa kocha wa Arsenal, na kama angepata hiyo bahati najua angetupa Champions league lkn asingemaliza mwaka angefukuzwa sababu ya culture, watu wa Arsenal wanapenda vitu vizuri, we like good things & sexy footy, this is our culture.
Leo mnawapiga spana hawa wadudu hadi huruma maskini!Miaka 20 iliyopita haikutegemea set pieces na haikuwahi kushinda chochote
Kama umewahi kumuangalia Busquet na ukasema ni mid mzuri hakuna namna Partey utamuona hovyo.Partey tunamsagia kunguni tena?
Boss mbishi anajua.Kama umewahi kumuangalia Busquet na ukasema ni mid mzuri hakuna namna Partey utamuona hovyo.
Same profile. Muachia namba 6 anakuchezeshea timu vizuri tu.
Sasa huyo Zubimendi ni Busquet mwingine, so siyo mbaya kama tutampata akiwa kwenye prime.
Ila sisi hatutengenezi chances? Shida ni chances au shida ni kuscore? So who do we really need?
Search "low iq" kwenye huu uzi, utaona hapo hajasaga kunguni kabisa.Partey tunamsagia kunguni tena?
Hata mi sikubali.Search "low iq" kwenye huu uzi, utaona hapo hajasaga kunguni kabisa.
Kunguni jamaa alisaga miaka kadhaa nyuma, palichafuka humu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Better we would have played with 10 men than having Sterling on the pi
Hata trossard ame flop sanaSterling ni mat*ko