Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Arsenal imemzunguka refa. Hichi kitendo ni kosa.Arsenal charged by FA over the players' reaction to Skelly redcard
Ambayo ilisababishwa na refa kufanya kosa.
Arsenal inaadhibiwa.
Refa anaachwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arsenal imemzunguka refa. Hichi kitendo ni kosa.Arsenal charged by FA over the players' reaction to Skelly redcard
Reiss NelsonKuna kipindi Arsenal ilisemwa tunamtaka Buendia mimi pia niliunga mkono, ilikua ni kipindi ambacho tunahitaji AM vibaya mno.
Buendia akachukuliwa na Villa, ikiwa ni response yao kwa kumuuza Jack city.
Juzi Buendia katolewa kwa mkopo ameshindwa kufikia matarajio. On the other hand Arsenal tumetoa kwa mkopo wafuatao
Marquinhos
Vieira
Tavares
Katika hawa ambaye naamini tunamhitaji ni Tavares
Kwa hatua hii imekaa vizuri, mambo ya kupangiwa kundi moja home and away ilikuwa siyo. Sasa unaona watu wanaumbuka huko play-offs.Hii eufa msimu huu hata sielewi ikoje ikoje, warudishe ile ile ama lah, watafute mfumo mwingine, waache huu.
City ana MadridKwa hatua hii imekaa vizuri, mambo ya kupangiwa kundi moja home and away ilikuwa siyo. Sasa unaona watu wanaumbuka huko play-offs.
Naona mmoja lazima aage.City ana Madrid
Ndo raha ya huu utaratibu mpya, wachujane hivyo hivyo.
Watu wa betting watafilisiwa
Mimi uwa simkubali. Chuma ni GyokeresWatkins haji
Utashangaa anakuja RashfordMimi uwa simkubali. Chuma ni Gyokeres
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chid migoli atawasadia sana mtabeba mpaka Uefa msimu huu, ila mtaweza kumlipa £350,000 kwa wiki?Utashangaa anakuja Rashford
Tafuta kazi ya kufanya[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chid migoli atawasadia sana mtabeba mpaka Uefa msimu huu, ila mtaweza kumlipa £350m kwa wiki?
Kesho Mancity wapo hapo Emirates kuchukua points zao 3 kiulaini kabisa.
Ukija kujua kwamba kihistoria mtani wako wa jadi ni man city na mafanikio yao ni aibu kwako utaanza kuelewa mpira. Sasa hivi wewe bado[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chid migoli atawasadia sana mtabeba mpaka Uefa msimu huu, ila mtaweza kumlipa £350m kwa wiki?
Kesho Mancity wapo hapo Emirates kuchukua points zao 3 kiulaini kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Man City kwa Man Utd tunamchukulia kama under dog tu, ni kama hapa bongo Simba na Yanga wanavyoichukulia KMC au Azam.Ukija kujua kwamba kihistoria mtani wako wa jadi ni man city na mafanikio yao ni aibu kwako utaanza kuelewa mpira. Sasa hivi wewe bado
£350m kwa wiki, Flano amka usingizini utajowa/poo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chid migoli atawasadia sana mtabeba mpaka Uefa msimu huu, ila mtaweza kumlipa £350m kwa wiki?
Kesho Mancity wapo hapo Emirates kuchukua points zao 3 kiulaini kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu nisamehe bure, unajua kwa sisi tuliozoea kushikashika hizi pesa zetu za madafu milioni ndio imekaa sana kichwani, hapo kwa Chidi bwenga nilikua namaanisha pound laki tatu na nusu.£350m kwa wiki, Flano amka usingizini utajowa/poo.