Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mfano wewe ni beki unayechipukia kwenye timu yako yupo Magalhaes, Saliba, Timber, White, Skelly, Calafiori, Tomiyasu, Kiwior na Tierney.

Kwa umri wako siyo tatizo ukiwa first 11 hawa mabeki wote hakuna anayezidi 26 utasubiri miaka mingapi ili uje utoboe?

Kisha kuna timu inakutaka mabeki wao tegemezi ni Maguire, Martinez, Yolo, Shaw, Malacia, Evans, De Ligt. Wanakulipa vizuri pia.

Wewe ungebaki Arsenal?
Hii post Flano umeisoma?
 
Muhindi mwenyewe kamkataa city, kenge na nyumbu endeleeni kutupigia kelele
Screenshot_20250202_085703_FotMob.jpg
 
Hii mechi nafikiri ilitakiwa aisimamie Michael Oliver ila ametolewa.

Kuna conspiracy theory moja nimeisikiliza wiki iliyopita. Michael Oliver hua anaenda Saudi kuchezesha mechi moja na kurudi UK kila akienda analipwa 20K£ wakati akichezesha hizi mechi za EPL hulipwa 1K£ kwa wiki.

Shirika linalomuita na kumlipa linamilikiwa na mmiliki wa City. Hoja ikasemwa, hata kama haambiwi kua anagewa hiyo pesa ili awapendelee yeye binafsi hashindwi kujiongeza ili azidi kugewa hizo kazi.

Pia at some point Barcelona ilikutwa na hatia ya kuwahonga marefa, kipindi wanakutwa na hii hatia kocha alikua Pep na SD alikua Aito.

Makosa 115 ambayo EPL inajivuta kutoa hukumu yametokea wakati kocha ni Pep na SD ni Aito. The theory believe kwamba uwepo wa watu walewale city, waliohonga wakiwa Barca, inaashiria ni sahihi kuamini hawa pia wameleta hayo mambo EPL.
 
Spurs inanishangaza kipindi hichi.

Hakuna anayemlaumu kocha tofauti na alipokua Jose, Conte na Nuno. Wote wanakubali kwamba shida ipo kwenye kikosi na naona hadi CEO wao anaenda mpaka kukutana na wachezaji ila anatolewa nje.

Wanatafuta CBs kwa udi na uvumba. Jana wamehack deal la CB aliyetakiwa kwenda Wolves na sasa wanajaribu haki deal la CB anayetakiwa kwenda Villa.

They are actively fighting and it's nice.
 
Hii post Flano umeisoma?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hayo ni maneno tu ya mkosaji anaongea huku roho inamuuma, kwani huyo baiSkelly wenu amesubiri miaka mingapi kuingia 1st eleven?
Nakuhakikishia huyohuyo Castr ulie mquote atakuja kulialia humu na kulaumu kwa nini Arsenyo inauza wachezaji ambao ni assets kama Ayden Heaven na Chido Obi-Martin kwa bei ya maandazi na kuiacha migalasa kina Kai Kiazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
images-1.jpg
1738487200961.jpg
 
Ili kuwa bingwa, shinda mechi zako bila kujali mpinzani anabebwa au la.
Misimu miwili iliyoisha mlikuwa mnaangalia zaidi makosa ya refarii yaliyo ifavor city dhidi ya wapinzani wake, msimu huu mmehamia kwa liverkuku!
Kila msimu mnatafuta sababu ya kushindwa kwenu kunyanyua kwapa.

LIVERPOOL- EPL
LIVERPOOL/BARCA- UCL
MAN UTD -EUROPA
NEWCASTLE- CARABAO
CITY -FA
HAALAND/SALAH -KIATU
ARSENAL- PHASE SIX
 
Ili kuwa bingwa, shinda mechi zako bila kujali mpinzani anabebwa au la.
Misimu miwili iliyoisha mlikuwa mnaangalia zaidi makosa ya refarii yaliyo ifavor city dhidi ya wapinzani wake, msimu huu mmehamia kwa liverkuku!
Kila msimu mnatafuta sababu ya kushindwa kwenu kunyanyua kwapa.

LIVERPOOL- EPL
LIVERPOOL/BARCA- UCL
MAN UTD -EUROPA
NEWCASTLE- CARABAO
CITY -FA
HAALAND/SALAH -KIATU
ARSENAL- PHASE SIX
Sasa si sababu halali kabisa hizo? Sisi lazima tushinde japokuwa tunadidimizwa kila wakati, huku wenzetu wanashinda huku wanabebwa kila wakati. Lazima sisi tuchoke mwisho wa siku
 
Msishangae city akamaliza juu yetu.
Sasa cha kushangaza nini hapo wakati ligi bado mbichi kabisa na injini ya city imeanza kupata moto? Ikitokea leo mmepigwa gap tayari ni point 4 kama sijakosea.
Kiukweli city akirudisha zile zama zake za kushinda game 8-10 mfululizo, hata liverpool atakuwa na hati hati na ubingwa wake.
 
Hii mechi nafikiri ilitakiwa aisimamie Michael Oliver ila ametolewa.

Kuna conspiracy theory moja nimeisikiliza wiki iliyopita. Michael Oliver hua anaenda Saudi kuchezesha mechi moja na kurudi UK kila akienda analipwa 20K£ wakati akichezesha hizi mechi za EPL hulipwa 1K£ kwa wiki.

Shirika linalomuita na kumlipa linamilikiwa na mmiliki wa City. Hoja ikasemwa, hata kama haambiwi kua anagewa hiyo pesa ili awapendelee yeye binafsi hashindwi kujiongeza ili azidi kugewa hizo kazi.

Pia at some point Barcelona ilikutwa na hatia ya kuwahonga marefa, kipindi wanakutwa na hii hatia kocha alikua Pep na SD alikua Aito.

Makosa 115 ambayo EPL inajivuta kutoa hukumu yametokea wakati kocha ni Pep na SD ni Aito. The theory believe kwamba uwepo wa watu walewale city, waliohonga wakiwa Barca, inaashiria ni sahihi kuamini hawa pia wameleta hayo mambo EPL.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wazee wa conspiracy theory, yaani hii timu kuanzia kocha, wachezaji mpaka mashabiki wake hua wanaishi kwa imagination's.
Mtu anakaa anajitungia kastori kake mwenyewe halafu anaanza kujiaminisha na kuwaaminisha wenzake.
Humu kila siku tunaongea Arsenyau shida yao kubwa ni mentality, siku watakayo achana na maisha ya ndoto wakaishi kwenye uhalisia wa mambo ulivyo watabeba mpaka kombe la dunia.
Sasa hayo Makosa 115 yaliwazuia nini Arsenyo kuchukua ubingwa msimu wa 2022/2023 hali yakua mmeongoza ligi kwa siku 258 na zimebakia mechi 6 ligi kumalizika Arsenyo inaongoza ligi kwa point8 dhidi ya City?
Hayo Makosa 115 yamezuia nini kubeba kombe msimu ulioisha mpaka City akawa overtake na kumaliza ligi kwa tofauti ya points chache na nyinyi?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wazee wa conspiracy theory, yaani hii timu kuanzia kocha, wachezaji mpaka mashabiki wake hua wanaishi kwa imagination's.
Mtu anakaa anajitungia kastori kake mwenyewe halafu anaanza kujiaminisha na kuwaaminisha wenzake.
Humu kila siku tunaongea Arsenyau shida yao kubwa ni mentality, siku watakayo achana na maisha ya ndoto wakaishi kwenye uhalisia wa mambo ulivyo watabeba mpaka kombe la dunia.
Sasa hayo Makosa 115 yaliwazuia nini Arsenyo kuchukua ubingwa msimu wa 2022/2023 hali yakua mmeongoza ligi kwa siku 258 na zimebakia mechi 6 ligi kumalizika Arsenyo inaongoza ligi kwa point8 dhidi ya City?
Hayo Makosa 115 yamezuia nini kubeba kombe msimu ulioisha mpaka City akawa overtake na kumaliza ligi kwa tofauti ya points chache na nyinyi?
Nakumbuka msimu uliopita zilikua zimebaki mechi 5 kama sikosei, arsenal na liva walikua wanatuacha point 2 Arsenal akiwa kikeleni.

Wikiendi moja wote wakapigwa 2-0 na mid table teams huku sie tukashinda tukakaa kileleni mpaka ligi kuisha.

Halafu unakuja kuletewa habari za Michael oliver this, Michael oliver that 😂

Liva alichukua ndoo mbele ya hii hii city ya pep inayohisiwa kuhonga marefa, why?

Sababu wale wahuni walikua na uwezo, sasa hawa ndugu zetu kujaribu hii misimu miwili unaletewa habari za "FA hawataki tubebe kombe" 🤣🤣🤣🤣

Jenga timu yenye uwezo, kombe unachukua haijalishi kahongwa refa ama ball boy.
 
Back
Top Bottom