Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

sasa nipo sehemu ina connection kidogo naona mnamtukana Kai.

makaveli10 jamaa kama kawaida yake?
Nipo safarini, sicheki game.

Hao wanaomtukana kai wamechelewa kumjua, sisi tulisema kai ni kiazi, wao wakabaki na takwimu zao sijui ariel duels, sijui kimeenda kimerudi..
Mie nilishagongelea msumari kai ni kiazi na hafai kuchezea arsenal.

Ni kama vile nilivyopokea matusi wakati nasimama na partey, watu walipiga kelele wee, kiko wapi.

Kai ni kiazi.
Ikiwezekana miaka ya kai ipunguzwe apewe partey
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hayo ni maneno tu ya mkosaji anaongea huku roho inamuuma, kwani huyo baiSkelly wenu amesubiri miaka mingapi kuingia 1st eleven?
Nakuhakikishia huyohuyo Castr ulie mquote atakuja kulialia humu na kulaumu kwa nini Arsenyo inauza wachezaji ambao ni assets kama Ayden Heaven na Chido Obi-Martin kwa bei ya maandazi na kuiacha migalasa kina Kai Kiazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 3222014View attachment 3222015
Mkuu?
 
Back
Top Bottom