Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
makaveli10 umeona ball wanalocheza leo washika mitutu 😻
Leo nimefurahi tunavyowakaza Man city
Leo nimefurahi tunavyowakaza Man city
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka mwaka jana ulimponda sana 😹Nipo safarini, sicheki game.
Hao wanaomtukana kai wamechelewa kumjua, sisi tulisema kai ni kiazi, wao wakabaki na takwimu zao sijui ariel duels, sijui kimeenda kimerudi..
Mie nilishagongelea msumari kai ni kiazi na hafai kuchezea arsenal.
Ni kama vile nilivyopokea matusi wakati nasimama na partey, watu walipiga kelele wee, kiko wapi.
Kai ni kiazi.
Ikiwezekana miaka ya kai ipunguzwe apewe partey
Ebwana tumeshinda na Kai kafuta makosaNipo safarini, sicheki game.
Hao wanaomtukana kai wamechelewa kumjua, sisi tulisema kai ni kiazi, wao wakabaki na takwimu zao sijui ariel duels, sijui kimeenda kimerudi..
Mie nilishagongelea msumari kai ni kiazi na hafai kuchezea arsenal.
Ni kama vile nilivyopokea matusi wakati nasimama na partey, watu walipiga kelele wee, kiko wapi.
Kai ni kiazi.
Ikiwezekana miaka ya kai ipunguzwe apewe partey
Kuongezea magoli ya kusaka ubingwa wa ligi kuuSasa Sterling anaingia kufanya nini?
Mimi bado nna beef nae aisee. Tunahitaji striker wa kueleweka. Tuzijidanganye na huu ushindi wa leo.Ebwana tumeshinda na Kai kafuta makosa
Kai sio striker kaka hata wewe unajua, Arteta anajua na kila Arsenal fan anajua. Sielewi kwa nn unalazimisha mambo.Mimi bado nna beef nae aisee. Tunahitaji striker wa kueleweka. Tuzijidanganye na huu ushindi wa leo.