[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Panapo uzima kesho tutaamkia humu kuwafariji hawa ndugu zetu.Assnyeto wakuda kweli. Sawa msingeweza kupita lakini hata goli moja tu kumbaf nyie?
View attachment 3226451
Timu ya kifala kweli hii.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hatimae Arsenyo wazee wa clean shit nyumbani na ugenini wamefuzu kuendelea na michuano ya Carabao cup baada ya kumfunga Nyukesto goli 4-0View attachment 3226448
Huenda unaichukulia kama ina maana ile ile, ila nakumbuka Castr alichosema kuhusu position ya Partey ni kwamba Partey akicheza RB hatushindi. Labda hiyo kauli inamaanisha akicheza kati hatufungwi pia...Mlisema Partey akicheza Mido hamfungwagi π π π π π π acheni kudanganyana aseee.