Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaani unaona kabisa kuna mabeki warefu na miili kikubwa (Botman & Burn) bado unaendelea kupiga kona za aina ile ile. Kona zote aseno amepiga hakuna hata moja imetua kwenye kichhwa cha mchezaji wa aseno.
 
Arsenal hawezi kufungwa goli zaidi ya mbili.
1000516926.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Rahim Sterling hatrick, Kai Harvez 1 na Jojinyo 1 hatimae Chelsea imefanikiwa kusonga mbele kwenye michuano ya Carabao baada ya kupiga comeback dhidi ya Nyukesto.
1738792118904.jpg
 
Back
Top Bottom