Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuanzia dakika hii 53' mnatakiwa kushinda sio chini ya goli 5. KENGE nyie
 

Attachments

  • Screenshot_20250206_001239_FotMob.jpg
    Screenshot_20250206_001239_FotMob.jpg
    76.9 KB · Views: 2
Arsenal hii game mkipindua nitawapa Kongole

Ila naona Newcastle akishinda goli zaidi ya mbili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyo anapigwa konzi kulingana na size ya kichwa yake.
Jitahidini wanangu mbona ni simple tu kupiga comeback ya goli 5, mbona hata mama sita mempiga 5 hivi ni vitu simple tu kwa Arsenyo.
1357548847.jpg
 
Baada ya hii mechi mashabiki ndiyo watakumbuka kwamba Arteta aliahidi kusajili hii January.

Ushindi kwa City uliziba hii kumbukumbu
 
Back
Top Bottom