Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo pesa hajaanza nayo pia huyu ni Manager siyo Kocha.Castr mjitathiminiView attachment 3226731
Duh....ndo maana hiki kijamaa kina kiburi sana.Castr mjitathiminiView attachment 3226731
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] daahh kumbe tapeli Tetea asiemiliki hata conference cup anakula mshahara mkubwa kuliko hata Carlo Ancelotti mwenye makombe yake ya Uefa na La Liga.Castr mjitathiminiView attachment 3226731
😁 ila mjitathiminiHiyo pesa hajaanza nayo pia huyu ni Manager siyo Kocha.
Ikatokea Ruben anaigeuza united kua timu yenye matokeo na kupoteza mechi inakua siyo kawaida sidhani kama utashangaa akipandishwa status kua manager na mshahara ukapanda
Stay humbleNewcastle ajiandae kisaikolojia
Ashindwe Fabregas, Van persie, aje awape odergaard na saka[emoji38]Hivi mnapodanganyana humu kuwa odegaard atawapa ubingwa huwa mnakuwa mmelewa au
Saliba ni uchochoro, ni swala la mda tu kulitambua hili.Mimi nadhani kwa point tuliyopo hatuhitaji tena false #9, we need a natural CF. False 9 ni kuiunganisha timu iende mbele kupitia outlets, kama una defenders wazuri on ball(Saliba /Timber/ lewis Skelly) , mid wazuri kama zubi kwenye build up na Rice kufanya carries, unachohitaji ni creativity kutoka kwa mtu kama De bruyne na a go getter kama Osimhen then Kila kitu kitakuwa sawa. Kwangu Naypan, Zubi na Natural CF ni lazima tuwapate dirisha la kiangazi kabla ya kusajili cover ya Saka. winger kama Rafa leao ni mzuri endapo tu huna mpango wa kusajili CF, maana unapata mtu wa ku set a sitter na goals pia
Ajabu sana 😂😂Ashindwe Fabregas, Van persie, aje awape odergaard na saka[emoji38]
😅😅😅😅😅Saliba ni uchochoro, ni swala la mda tu kulitambua hili.
Sidhani, sijasikia, ila kwa mourinho ni bora timu icheze bila kocha, kama kundi la wahuni tu.makaveli10 nasikia Mourinho aki beba ubingwa na fernanabache, ana weza kuja London.
Mourinho unaweza ukamlinganisha na kocha gani hapo kwako?Sidhani, sijasikia, ila kwa mourinho ni bora timu icheze bila kocha, kama kundi la wahuni tu.