Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusajili ili iweje sheikh?Arsenal wangese kweli, kama wangesajili January sasa hivi tungewapa kazi ya kufanya maana Arne Slut kuna viwanja vingi vya machinjio bado hajakanyaga.
Mbona hatuwaelewi mnataka tuanguke at the same time mnataka tushinde .Arsenal wangese kweli, kama wangesajili January sasa hivi tungewapa kazi ya kufanya maana Arne Slut kuna viwanja vingi vya machinjio bado hajakanyaga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wasajili pesa waitolee wapi?Arsenal wangese kweli, kama wangesajili January sasa hivi tungewapa kazi ya kufanya maana Arne Slut kuna viwanja vingi vya machinjio bado hajakanyaga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wakati liverpool wanapoteza hizo points 10 ushajiuliza Arsenyo watakua wamepoteza points ngapi?ubingwa uko wazi,sema timu yetu haiko vizuri ubahiri utatuponza,liverpool bado hawajaexperience downfall ya season wanaweza kupoteza zaidi ya point kumi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hawa jamaa ni vichaa mkuu. Wanaosema Mwanaheri ataziba gape la King Kai na kuwapa ubibgwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wakati liverpool wanapoteza points 10 ushajiuliza Arsenyo watakua wamepoteza points ngapi?
Mnaongelea yule Saliba aliyebagazwa na Zirkzee?Madrid inamtaka Saliba.
Arsenal ipo tayari kumuuza kama Madrid itatoa angalau kuanzia 80M
Duh huyu si ndiyo alitolewa dakika ya 30 mkaanza kusema mliongopewa kua anajua mpira kumbe ni lofa?Mnaongelea yule Saliba aliyebagazwa na Zirkzee?
Ubingwa unatutafuta ila hatuutaki kwa misimu hii 3 mfululizo.ubingwa uko wazi,sema timu yetu haiko vizuri ubahiri utatuponza,liverpool bado hawajaexperience downfall ya season wanaweza kupoteza zaidi ya point kumi
Hata tukifungwa nisipomuona tu uwanjani roho yangu safii kabisa. Atupishe kidogo. Nmefurahi kwakweli
Ndio mana LiArteta linampenda sana KaiKwa mpira wa siku hizi mchezaji inampasa awe anashinda mapambano yake, ikiwepo ground na aerial duals.
Huyu Mbappe na mwenzie Vini, ni wachezaji luxury sana. Washukuru wanacheza kwenye timu kubwa ambayo inapata matokeo, na hata timu zilizomo ndani ya ligi yao hazina ushindani wa hivyo. Ila ukiileta timu hii hii kwenye ligi ya uingereza sasa hivi wangekua wanapigania nafasi ya 13 na Man Utd.
Tena bora hata Vini, huyu Mbappe hata kukimbia tu timu yake ikiwa haina mpira hawezi. Pasi zinapigwa hapo hapo mbele yake yeye amesimama.
Tunamsema Kai, sawa sio mfungaji mzuri na general play yake sio nzuri. Ila kama unajitaji team player/mpambanaji, ni bora ya Kai kuliko Mbappe. Only because Kai can sacrifice for the team.
Mbappe ndio aina ile ile ya wachezaji wa kariba ya Rashford.
Akae huko huko kwenye kitanda cha majeruhi.Q
Ndio mana LiArteta linampenda sana Kai