verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 2,930
- 5,913
Nwaneri anapishana na Γde pale katiIla kile kipindi cha pili bwana mdgo Odegaard alikuwa kama iniesta hivi mchakamchaka tu....Mungu asaidie tuende hivi hivi mpk Bukayo na Martinelli warudi....hyu Nwaneri Saka akirudi aisee wamuweke hata pale forward atatufaa....mtoto ana balaa sana yuleπ€ π€ π€
Kikubwa alete matokeo, anaweza kuwa amegundua kipaji cha nafasi.Arteta ana elements za kiuchumi za Wenger. Merino ni mid ila keshafanywa ST, hanunuliwi mtu
Ninacheka tuNaona hawa mijusi milia akina Labyrinth wameamua kuwapa mafisadi matumaini.
Wanachojua wale ni kutukamia sisi tu.
Mpira mpira mpira ππUpuuzi mtupu. Siwezi kuendelea kuangalia hii mechi.
Maana kila napojiuliza goli linatokea wapi sipati jibu.
Hatutamuona Labyrinth 84 humu hii weekend kama ikiendelea hivi au kuwa mbaya zaidi kwao.Ninacheka tu
Hutamuona mpaka Arsenal ifungwe.Hatutamuona Labyrinth 84 humu hii weekend kama ikiendelea hivi au kuwa mbaya zaidi kwao.
Bado mapemaSasa Villa moto unazimika. Ipswich yupo hoi msimu huu na ana red na anamuongoza
Ameenda bure Arsrnal, hakuna fee na mshahara wote wanalipa ChelseaSteringiiiiiii, uyu jamaa arteta aliona kipi cha special, chezaji vivu, hawezi kupiga cross, hawezi kushoot, mbio hana siku hizi, inshort ni zigo la misumali.
Kwa hiyo mpaka katikati au mwishoni mwa msimu ujao ndiyo tutamuona tena? ππHutamuona mpaka Arsenal ifungwe.
Exactly ila kwa walivyoaminisha mashabiki na sasa hivi kinachendelea ni deals mbili tofautiBado mapema
Akija utamuona na mabango yake na takwimu nyingi anahangaika kumquote kila mtuKwa hiyo mpaka katikati au mwishoni mwa msimu ujao ndiyo tutamuona tena? ππ
Na walitunyima Watkins. Mchezaji wa 35m tumewapelekea 60m wakatubania. Wapigwe tu hao.Exactly ila kwa walivyoaminisha mashabiki na sasa hivi kinachendelea ni deals mbili tofauti
Nafurahi amepata timu ya kucheza kama chaguo la kwanza, ila sifurahii anavyofungwa hovyo.Ramsdale akilala anaziota clean sheets
π€£ tetea ni wakufananishwa πMakocha wao wakiperform mechi mbili tatu wanaanza kuwafananisha na Arteta. Shida hua inakuja kwenye consistency
Haupo serious. Unafanya nijiulize umeanza lini kufuatilia mpiraπ€£ tetea ni wakufananishwa π