Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_2025-01-16-10-31-01-799_com.twitter.android-edit.jpg
 
1737028111379.jpeg


Hawa kina Havertz na Odegaard wanavyo zingua kukosa magoli ya wazi wakati wako Emirates, uwanja bora kabisa duniani, wanaudhi sana.

Cheki huu uwanja wetu hali yake leo. Na hii ni hali ya kawaida. Uwanja una mabonde, nyasi zinawasha, siafu wametanda kote, ila hatukosi magoli hovyo. Na mpira ukiingia kichakani unachukua mkuki kuufuata ili simba au mbogo akikuzingua unadeal naye huko huko ndiyo urudi na mpira. Kichaka chenyewe asilimia 90 ni miwashawasha (stinging nettle) hivyo unavaa koti kwanza ndiyo unazama ndani.

Lakini hatukosi magoli kizembe kama hawa kina Havertz.
 
View attachment 3203598

Hawa kina Havertz na Odegaard wanavyo zingua kukosa magoli ya wazi wakati wako Emirates, uwanja bora kabisa duniani, wanaudhi sana.

Cheki huu uwanja wetu hali yake leo. Na hii ni hali ya kawaida. Uwanja una mabonde, nyasi zinawasha, siafu wametanda kote, ila hatukosi magoli hovyo. Na mpira ukiingia kichakani unachukua mkuki kuufuata ili simba au mbogo akikuzingua unadeal naye huko huko ndiyo urudi na mpira. Kichaka chenyewe asilimia 90 ni miwashawasha (stinging nettle) hivyo unavaa koti kwanza ndiyo unazama ndani.

Lakini hatukosi magoli kizembe kama hawa kina Havertz.
Mtumie huu ujumbe inbox
 
José Mourinho:

"Kwa mawazo yangu Mimi lakini, Arsenal FC haina sifa yoyote ya kuwa timu kubwa."

"Kila mara utasikia timu Ina nguvu (strong) lakini hamna Cha maana wanafanya kupata Mataji."

"Hakuna timu kubwa ambayo inacheza vizuri bila kupata Mataji."
José Mourinho:

"Kwa mawazo yangu Mimi lakini, Arsenal FC haina sifa yoyote ya kuwa timu kubwa."

"Kila mara utasikia timu Ina nguvu (strong) lakini hamna Cha maana wanafanya kupata Mataji."

"Hakuna timu kubwa ambayo inacheza vizuri bila kupata Mataji."
Huyu kaongea ukweli unaouma mashabiki wa arse8.
 
Hivi Mourinho siku hizi yupo timu gani?

Kama ningekuwa kocha ningeweka approach ya low block kama Mourinho

Napenda sana, mbele naacha mchezaji mmoja tu wote wanabaki nyuma.

Mourinho hata dunia iumbwe tena asingeweza kuwa kocha wa Arsenal, na kama angepata hiyo bahati najua angetupa Champions league lkn asingemaliza mwaka angefukuzwa sababu ya culture, watu wa Arsenal wanapenda vitu vizuri, we like good things & sexy footy, this is our culture.
Yaani Mou na makombe yote ya ligi kubwa nne duniani na makombe ya uefa ya kutosha ndio aje arsenal? Timu isiyokuwa na uhakika wa kombe kila msimu? Mmelogwa.
 
Nimeanza kuwaelewa mliokuwa mnamponda havertz
Nilipokuwa namponda humu, mnaniambia maswala ya Ariel duels sijui na takataka gani, mule hakuna mchezaji, kama mayele angezaliwa ulaya au pacome angeanzia mpira ulaya basi hawa jamaa, wana kipaji na uwezo mkubwa kushinda huyu kenge, HAJUI mpira, akacheze timu za kugombea nafasi ya 10 huko.
Hana akili ya mpira, bado yupo slow, finishing hakuna, mguuni hakuna mali,
Mchezaji anakimbia kama ana kinyesi matakoni
 
View attachment 3203598

Hawa kina Havertz na Odegaard wanavyo zingua kukosa magoli ya wazi wakati wako Emirates, uwanja bora kabisa duniani, wanaudhi sana.

Cheki huu uwanja wetu hali yake leo. Na hii ni hali ya kawaida. Uwanja una mabonde, nyasi zinawasha, siafu wametanda kote, ila hatukosi magoli hovyo. Na mpira ukiingia kichakani unachukua mkuki kuufuata ili simba au mbogo akikuzingua unadeal naye huko huko ndiyo urudi na mpira. Kichaka chenyewe asilimia 90 ni miwashawasha (stinging nettle) hivyo unavaa koti kwanza ndiyo unazama ndani.

Lakini hatukosi magoli kizembe kama hawa kina Havertz.
Wapi mkuu, nije nicheze walau mara moja tu.
 
Back
Top Bottom