Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ili Rice awe lit kwenye namba 8 timu yetu inatakiwa icheze mchaka mchaka. Naamini hata ubora wake akiwa namba 8 tuliuona kipindi ambacho tulikua tunacheza kwa speed tofauti na siku hizi.
Na ndo linapopatikana wazo la Zubimendi kucheza role ya Partey. Merino Ni m badala wa Rice . LCM
 
Kuna mtu kauliza online ikiwa Newcastle hua wanakamia mechi na Arsenal pekee.

Kuna mmoja akajibu inaonekana hivyo kwakua hata formation akicheza na Arsenal inakua tofauti mfano dhidi ya sisi ni back 5 ila dhidi ya timu nyingine ni back 4.

Kuna mmoja akajibu shida siyo ukamiaji isipokua attack yetu haiko fluid, ipo slow na stale kiasi kwamba tunawapa muda wa ku-regroup tofauti na wakicheza na timu zingine.
Mfano City, attack yao iko fast na pia hawasubiriani hadi wafike wote.

Jana goli la pili la Merino ni mfano wa timu ambayo haisubiriani, isipokua hatuna consistency kwenye attacks za hivyo ndiyo sababu timu yoyote ikipaki asi inatusumbua
 
Unauliza natumia vigezo gani kusema Rice kapwaya DM ikiwa hadi leo hajachezeshwa tena DM na nafasi anaicheza Partey au Jorginho?

Kama hujui alichokua anaoffer Xhaka na mpaka wanasajiliwa wachezaji wawili kuja kuziba hilo pengo mimi sina cha kusema.

Sina uhakika kama Rice ana hiyo trait, najua alikua nayo Saka. Ni vizuri kama Rice ndiye energizer wetu.

Sasa kama hana build up nzuri na pasi hayupo vizuri unamuwekaje DM? Naona umezunguka na kurudi pale pale.
Utamwekaje Rice DM wakati hakuna LCM wa uhakika na unajua Rice anaweza kucheza vizuri kuliko mchezaji yeyote hiyo sehemu na wakati huohuo una wachezaji ni DM wazuri (Partey/ Jorginho), na hao wachezaji ni wazuri sana wakiwa kwenye hiyo position pekee??
 
Utamwekaje Rice DM wakati hakuna LCM wa uhakika na unajua Rice anaweza kucheza vizuri kuliko mchezaji yeyote hiyo sehemu na wakati huohuo una wachezaji ni DM wazuri (Partey/ Jorginho), na hao wachezaji ni wazuri sana wakiwa kwenye hiyo position pekee??
Hiyo position pekee? Partey au mwingine?

Ila unajua unaandika vitu halafu unaishia kusupport ninachosema?

So unakubali hakuna LCM wa uhakika hivyo huwezi kumuweka Rice DM. Hatuna LCM wa uhakika ila Partey anakaa DM, waliotarajiwa kua LCM ni Havertz na Merino, na wote hawajacope vizuri.

Kusema kwamba Rice anacheza LCM vizuri kuliko mtu yeyote ni uongo. Na kwakua haujui anachotakiwa kufanya ndiyo sababu unauliza Xhaka alikua anaoffer nini.
 
Kuna mtu kauliza online ikiwa Newcastle hua wanakamia mechi na Arsenal pekee.

Kuna mmoja akajibu inaonekana hivyo kwakua hata formation akicheza na Arsenal inakua tofauti mfano dhidi ya sisi ni back 5 ila dhidi ya timu nyingine ni back 4.

Kuna mmoja akajibu shida siyo ukamiaji isipokua attack yetu haiko fluid, ipo slow na stale kiasi kwamba tunawapa muda wa ku-regroup tofauti na wakicheza na timu zingine.
Mfano City, attack yao iko fast na pia hawasubiriani hadi wafike wote.

Jana goli la pili la Merino ni mfano wa timu ambayo haisubiriani, isipokua hatuna consistency kwenye attacks za hivyo ndiyo sababu timu yoyote ikipaki asi inatusumbua
Hapo kwenye lack of fluidity and stale toward opponent goal tukiwa tunafanya buildup ndipo tunapowezwa na timu ambazo Zina makocha werevu.


Kuna siku mtu Mmoja humu aliwahi sema ukitaka kuwafunga city(Ile iliyokuwa form balaa) we peleka mpira golini kwao tu.
Tena akasema ukitaka kupeleka mpira kwao upeleke kwa namna ya kuwaprovoke.

Basically hii mbinu haikupi matokeo kwa city-type teams ila ni kwa team yoyote hata kama Ina quality na Iko organized kiasi gani.

Team yoyote ambayo Ina operate kwa structure na pattern iwe ni kwenye ulinzi au midfield dawa Yao ni kuwaprovoke tu.


Kwani klop alikuwa anamwadhibu vipi pep na ubora wake?
Kwani Anne slot Siri yake kubwa ni ipi?
Aisee peleka mpira langoni kwa adui yako in a speedy way without hesitation hata kama ni Bora vipi kuna muda atafanya makosa.
 
Hatuna ballers wazuri,
Hatuna transition killers wazuri
Hatuna long short takers wazuri
Hatuna traditional 9

Njia pekee ya kushinda ni kutengeneza constant fluidity langoni kwa mpinzani.

Utapata second ball,faulo, penalties na uncertainties ambazo zinaweza kukupa matokeo
 
Watu wengi wanajiuliza how Madrid inayoonekana kama inachechemea Huwa inatoka kusikojulikana na inachukua UEFA.

SIRI ni Moja au mbili
-Tengeneza defense nzuri,
-Avoid addiction to systems or structure within a game
-go fluidly and speedy
-let individual brilliance dicide the game when need(kuna muda inaleta UBINAFSI)
 
Slot katupa dongo ila naona watu hawajadecode.

Wamemtishia juu ya Cunha yeye akawakumbusha kua Wolves ni ya 17
 
Ubaya ubwela. Mwisho wa msimu, sisi hola, na nyinyi pia.
FB_IMG_1739722471762.jpg
 
Hawa Spurs kwanini hawakubali kua na wao hawana ST kama sisi tu? Na ndiyo wamemtoa Bayern mtu mjinga kabisa
 
Small victories hizi ambazo hata hazimake sense.
Christiano Ronaldo's free kick against arsenal has been voted as the greatest free kick in football history.
 

Attachments

  • barackhalogen_4f8af0ba9459450392cf0258aa0a4447.mp4
    1.3 MB
Partey kucheza RB nafikiri ni kwa sababu kulikuwa hakuna mwingine wa kuwekwa hapo katika hizo mechi. Kama Timber alikuwa fit basi Saliba au Gabriel hawapo hivyo Timber akakaa CB, na kina White na Tomiyasu hawakuwepo...
Nafikiri Arteta alikuwa analazimika tu kumchezesha hapo maana majeruhi walikuwa wengi.
 
Bayern amepenya aisee. Huyu mhuni huwa hatumtaki kabisa. Ila Atalanta na Milan naona wametolewa. Huu mfumo mpya kweli hauna huruma. Ukiteleza kidogo unaweza kujikuta umeanguka kabisa.
Tuone kama ManC115y atapindua meza leo.
 
Bayern amepenya aisee. Huyu mhuni huwa hatumtaki kabisa. Ila Atalanta na Milan naona wametolewa. Huu mfumo mpya kweli hauna huruma. Ukiteleza kidogo unaweza kujikuta umeanguka kabisa.
Tuone kama ManC115y atapindua meza leo.
Bahati ilikuwa upande wake dk ya 90+ , wangeenda dk 30 pengine Celtic angepenya.
 
Back
Top Bottom