Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya kusajili Striker inatakiwa kwanza Odegaard auzwe, tupate no 10 mkali mithili ya Wirtz, akiambatana na Zubimendi na Striker mkali km Isaak matatizo yote yanaisha. Bruno Fernandes leo amefundisha somo zuri how to play as a #10 lkn ndugu yangu just uwezo ndio umeishia pale.
Pale cristal palace kuna eze far better kuliko odegaardOdegaard anafanya kazi ambayo tunategemea km zubi akisajiliwa Arsenal aje kuifanya, to progress the ball clean up the pitch, anashuka chini ku break opposition's press thru numerical superioty & dynamism ili mazingira yawe rahisi kupeleka mpira mbele lkn sio kazi yake ya msingi, Odegaard kama #10 sioni anachofanya, hawezi kufunga, no assists, no creativity, just touches zisizo na mbele wala nyum na vishot mshenzi visivyoeleweka
Inategemea na mazingira, hapa tunaangalia the playing model, kwa Arsenal ya 22-23 Jesus was the best, kwa Arsenal hii Isaak anasolve matatizo mengi ya Arsenal kuliko JesusTulikubaliana humu jesus ni hatari kuliko isak
Wewe ndio unamjuakwahiyo we ndo unamjuwa sana Odegaard kuliko kocha au sio?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] 2025 2nd place waisahau, hio nafasi ya pili msimu huu ni mali halali kabisa ya Nottingham Forest.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu kuna wahuni humu walikua wanajiaminisha kua Odegaard ni bora kuliko Bruno Fernandez.Odegaard ni mzigo mzito kuliko Kai havertz, hatuna namba 10, we just have a body in there.
Kama tungekuwa na Bruno nakuhakikishia gap na liverpool lingekuwa point 4-5 majeruhi sawa, red card sawa lkn kuna mechi nyingi sana it's a wasted opportunity kwa kukosa right profile kwenye no.10 spot[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu kuna wahuni humu walikua wanajiaminisha kua Odegaard ni bora kuliko Bruno Fernandez.
Hebu imagine Man Utd hii mbovu ingekua na Ordegaard, halafu Arsenyo ya hii misimu mitatu ingekua na Bruno, nina uhakika mngekua mshabeba mpaka Uefa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wazee wa Netflix tayari mmeshakubali kunyanyua mikono juu, msikate tamaa wanangu pambaneni points 15 sio nyingi sana[emoji16][emoji16][emoji16]Arsenal hamna kitu tutafanya msimu huu, tujiandae na usajili ambao tukiboronga tujiandae kumuona kocha hafai
Ashindwe Fabregas aweze Odergaard[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu kuna wahuni humu walikua wanajiaminisha kua Odegaard ni bora kuliko Bruno Fernandez.
Hebu imagine Man Utd hii mbovu ingekua na Ordegaard, halafu Arsenyo ya hii misimu mitatu ingekua na Bruno, nina uhakika mngekua mshabeba mpaka Uefa.
Isack wa ndotoni labda, au tuwape NunezInategemea na mazingira, hapa tunaangalia the playing model, kwa Arsenal ya 22-23 Jesus was the best, kwa Arsenal hii Isaak anasolve matatizo mengi ya Arsenal kuliko Jesus