Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] HENRY14 siku hizi na wewe umeshakua na kaumasingeli flani hivi ka kiwaki.
Haya hebu vuta picha Madrid anawatoa kwenye hio machuano, kisha Forest, City na Chelsea wanamaliza ligi juu yenu mnaikosa top4, halafu mbaya zaidi Man Utd kwa papatu papatu anabeba Europa na kufanikiwa moja kwa moja kushiriki Uefa msimu ujao, unafikiri hali itakuaje kwenye hili jukwaa la wapenzi wasindikizaji.
 
Screenshot_2025-03-13-22-52-47-479_com.twitter.android-edit.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndugu yangu hamis77 muda mrefu sana ulikua unatamani timu yako ikutane na Real Madrid ili muioneshe dunia kua Arsenyo ndio The best team in the world interm of pressing & overloading, positional interchange na flexibility bila ya kusahau aerial duel na set pieces.
Hatimae Mungu amesikia kilio chako na kuwakutanisha na mashababi wa Don Carlo, hivyo mimi pamoja na mashabiki wengine wote humu tumeshakusamehe kwa yote uliyokua unatudanganya, tunakuomba urudi kwenye hili jukwaa tugange yajayo.
Hakika hili jukwaa si lolote si chochote bila ya zile false hopes zako, chawa zako kina mkorea na arsenal2004 walijaribu kuvaa viatu vyako lakini havijawatosha, matokeo yake wameishia kupata matege kutokana na uzito wa viatu vyako, tunakuomba ndugu yetu Masingeli urudi humu ili tuyajenge upya. View attachment 3268917
Jamaa Flano bwege sana...
 
Huo ubavu hamna braza.....mnaelekea kuwa Man U version 2....mnaitumia mihela mingiii halafu hamna mnapokwenda....j2 tutahakikisha ile nafasi ya 4 Pep Guardiola anarudi pale....ni dharau Chelkenge kuwa juu ya City hamna hio hadhi
Tunza hii comment yangu, hao chelsea na man u watachukua kombe kabla yenu.
 
Back
Top Bottom